nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,244
- 7,723
Nipo Mbeya nafanya shughuri ya ufugaji wa kuku wa kienyeji. Mwanzo mradi ulienda vizuri sana lakini nimekutana na changamoto ambayo imenifanya nianze upya.
Wazo nililonalo ni kufanya kilimo cha bustani. Maeneo niliyopo kilimo cha nyanya, hoho, vitunguu, viazi mviringo na matango yanaruhusu. Kilimo cha umwagiliaji kwa maeneo haya pia ni 100%
Changamoto ni mtaji maana mashamba yapo ya kutosha ila gharama za uendeshaji ndio shida kwa upande wangu kwa sasa.
Kupitia partnership, tunaweza fanya kilimo hiki ambacho kina soko la uhakika. Mimi nitatoa shamba na muda wangu ambapo tutagawana kwa makubaliano tutakayofikia.
Kwa yeyote atakayevutiwa na hii idea, karibu sana kwa mawasiliano ya simu na whatsap 0714265105
Wazo nililonalo ni kufanya kilimo cha bustani. Maeneo niliyopo kilimo cha nyanya, hoho, vitunguu, viazi mviringo na matango yanaruhusu. Kilimo cha umwagiliaji kwa maeneo haya pia ni 100%
Changamoto ni mtaji maana mashamba yapo ya kutosha ila gharama za uendeshaji ndio shida kwa upande wangu kwa sasa.
Kupitia partnership, tunaweza fanya kilimo hiki ambacho kina soko la uhakika. Mimi nitatoa shamba na muda wangu ambapo tutagawana kwa makubaliano tutakayofikia.
Kwa yeyote atakayevutiwa na hii idea, karibu sana kwa mawasiliano ya simu na whatsap 0714265105