nangongocho
Member
- Jun 7, 2020
- 25
- 13
Wakuu kwa wanaojua bei ya mnada wa kwanza kupitia Chama cha Ushira mkoa wa Lindi Runali mwaka huu 2020 watujuze.
Asante.
Asante.
OKE asanteMnada haukufanyika, kutokana Kutokuwepo kwa mzigo wa kutosha katika maghala Makuu,, watapiga wiki Ijayo kwa maana Jumapili ijayo. Pia nilisikia Redio Mbao kua Jumatano ya keshokutwa wanaweza kupiga. Ngoja tusubiri.