Kama unataka uandae mzigo katavi jitahidi uwe na maeneo ya kati au mbadala wa soko katika miji ya karibu, vinginevyo inaweza kuwa story kwa sababu ya usafiri, Geita wameweza kutokana na gharama kidogoo kuwa afadhali ndio maana wanauzia Dodoma na Dar
Kama unataka uandae mzigo katavi jitahidi uwe na maeneo ya kati au mbadala wa soko katika miji ya karibu, vinginevyo inaweza kuwa story kwa sababu ya usafiri, Geita wameweza kutokana na gharama kidogoo kuwa afadhali ndio maana wanauzia Dodoma na Dar