Kilimo cha pilipili

Kilimo cha pilipili

JMWAKA

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2012
Posts
739
Reaction score
653
Habaru zenu wakuu naomba kufahamu jinsi ya kulima pilipili Mbuzi

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
Pilipili Mbuzi unaotesha mbegu kwenye kitalu kisha unahamisha shambali na yaratibu zingine zinafuata ni hatua nyingi mie nalima lakini kwa msaada zaidi watafuye KILIMO MAARIFA wanayo miongozo mizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom