Kilimo cha matikiti, ulifanikiwa, wapi ulifeli?

Kilimo cha matikiti, ulifanikiwa, wapi ulifeli?

mwandorobo

Member
Joined
Jul 7, 2018
Posts
56
Reaction score
71
Habari wakuu, ninaweka uzi huu mfupi kukusanya uzoefu kutk watu mbalimbali, nikiwa na uzoefu wa kulima zao hili kwa zaidi ya misimu minne tofauti, na imekuwa kila msimu ninaolima nimekuwa nikianza vizuri na hatimaye kwenye mavuno naangukia pua na kupata hasara (mambo ni mengi unaweza kuhisi hadi uchawi unahusika😄). Ikafika hatua mtaji wote Ukakata na Imebidi nirudi tena mjin kujipanga upya. Inakatisha tamaa kimsingi lakini niliapa lazima nijipange upya na nirudi tena shamba nikaikomboe😄 pesa yangu niliyoizika huko. tafadhali usisite kushare uzoefu wako, mafanikio au ulifeli wapi?
 
Niliwahi kushawishiwa na rafiki yangu nikanunua shamba ekari 5 nikazilima zote nikapanda haya madude wewewewe!!!! Shughuli ilianzia kwenye kuota ilikuwa mche mmoja ukiota bunju mwingine unaota kitunda mwingine vigwaza unaofuata kibaha kwa mfipa nikaona hiki kilimo na mimi never again
Sasa bwana mwaka jana nikamkodisha doctor mmoja rafiki yangu akalima zile ekari zote amevuna zaidi ya 30million.
Hata sijui shetani ananiambia nini kuhusu mwaka huu??
 
Niliwahi kushawishiwa na rafiki yangu nikanunua shamba ekari 5 nikazilima zote nikapanda haya madude wewewewe!!!! Shughuli ilianzia kwenye kuota ilikuwa mche mmoja ukiota bunju mwingine unaota kitunda mwingine vigwaza unaofuata kibaha kwa mfipa nikaona hiki kilimo na mimi never again
Sasa bwana mwaka jana nikamkodisha doctor mmoja rafiki yangu akalima zile ekari zote amevuna zaidi ya 30million.
Hata sijui shetani ananiambia nini kuhusu mwak
Hapana usiweke neno "never again" sometimes kilimo hiki tunalima ni bahati japo inatesa unaposikia kuna mtu huko kapiga mshindo wakat wew unalia
 
Wakubwa ushauri wangu ni huu

Tafuta mbolea ya kuku ndo nzuri kwa upandaji wa tikiti . Ukishaweka kwenye mashimo yko imwagilie maji kwa muda wa siku 4 ili ipoe vizuri usipofanya hivi mbegu zako zitaungua na mbolea mna mbolea ya kuku ni kali

Kabla ya kununua mbegu angalia ardhi ipi unoenda kulimia kma ni ya mawe au udongo au kichanga mna hizi mbegu zimetofautiana ivo kulingana na ardhi sio kila mbegu inakubali kwenye ardhi yeyote ile

Ukishanunua mbegu ziroweke mbegu zako kwenye chombo chenye maji lengo la kufanya hivi ni kuibobesha mbegu yko ili ukienda kuifukia shambani iweze kupasuka haraka na kutoa mche

Nahisi wakubwa zangu mumenielewa
 
Kwenye tikiti nimefeli mara4 tofauti hazina ubabe zikiamua kukufelisha uwe na uzoefu namna gani
Picha linaanza nilipanda heka 3 zote sikuya2 yake mvua hiyo kubwa zilikuja kuota mashina si zaidi ya 230 kwa heka zote 3 muda huo hela mbegu sina tena! nikauchuna.

Mstaafu mmoja akanitafuta akasema tulime na atumie uzoefu wangu yeye atatoa kila kitu then kwenye mavuno tutaondoa ghlama zake zote kisha baki ama faida tugawane nikasema tawilee. ziliota vzr palizi ya kwanza fresh zikaanza maua aisee sikujua ugonjwa gani uliingia yaani shina linakuwa na njano baada ya siku3 linakauka shamba lote heka5 tukapata laki 195000 kama mauzo msataafu akaniachia mimi.

Nikamshawishi tena twende mahali kwingine tukakodi heka5 zile zile aisee hizi tulipiga hela kama vichaa

awamu nyingine nikalima nikakutana mafuriko sokoni usiombee yaani tikit kubwa kabisa unauza buku jero na wateja hakuna wiki2 fuso limemwaga tikit kidogo nizitelekeze nikajipa moyo nikapatamo laki8 na ushee.
 
Habari wakuu, ninaweka uzi huu mfupi kukusanya uzoefu kutk watu mbalimbali, nikiwa na uzoefu wa kulima zao hili kwa zaidi ya misimu minne tofauti, na imekuwa kila msimu ninaolima nimekuwa nikianza vizuri na hatimaye kwenye mavuno naangukia pua na kupata hasara (mambo ni mengi unaweza kuhisi hadi uchawi unahusika). Ikafika hatua mtaji wote Ukakata na Imebidi nirudi tena mjin kujipanga upya. Inakatisha tamaa kimsingi lakini niliapa lazima nijipange upya na nirudi tena shamba nikaikomboe pesa yangu niliyoizika huko. tafadhali usisite kushare uzoefu wako, mafanikio au ulifeli wapi?
Nilifanikiwa shambani nikafeli sokoni
 
Kuna watu waliingia mkenge sana kwenye ishu ya matikiti,,,,,

Kila mtu ana angle yake ya kufanikiwa ama kutoboa,,,sijawahi kufanya kilimo cha biashara never !!! Unaweza fanikiwa ama ukazika mtaji wote
 
Kwenye tikiti nimefeli mara4 tofauti hazina ubabe zikiamua kukufelisha uwe na uzoefu namna gani
Picha linaanza nilipanda heka 3 zote sikuya2 yake mvua hiyo kubwa zilikuja kuota mashina si zaidi ya 230 kwa heka zote 3 muda huo hela mbegu sina tena! nikauchuna.

Mstaafu mmoja akanitafuta akasema tulime na atumie uzoefu wangu yeye atatoa kila kitu then kwenye mavuno tutaondoa ghlama zake zote kisha baki ama faida tugawane nikasema tawilee. ziliota vzr palizi ya kwanza fresh zikaanza maua aisee sikujua ugonjwa gani uliingia yaani shina linakuwa na njano baada ya siku3 linakauka shamba lote heka5 tukapata laki 195000 kama mauzo msataafu akaniachia mimi.

Nikamshawishi tena twende mahali kwingine tukakodi heka5 zile zile aisee hizi tulipiga hela kama vichaa

awamu nyingine nikalima nikakutana mafuriko sokoni usiombee yaani tikit kubwa kabisa unauza buku jero na wateja hakuna wiki2 fuso limemwaga tikit kidogo nizitelekeze nikajipa moyo nikapatamo laki8 na ushee.
Unafaa kutufundisha beginners
 
Kwenye tikiti nimefeli mara4 tofauti hazina ubabe zikiamua kukufelisha uwe na uzoefu namna gani
Picha linaanza nilipanda heka 3 zote sikuya2 yake mvua hiyo kubwa zilikuja kuota mashina si zaidi ya 230 kwa heka zote 3 muda huo hela mbegu sina tena! nikauchuna.

Mstaafu mmoja akanitafuta akasema tulime na atumie uzoefu wangu yeye atatoa kila kitu then kwenye mavuno tutaondoa ghlama zake zote kisha baki ama faida tugawane nikasema tawilee. ziliota vzr palizi ya kwanza fresh zikaanza maua aisee sikujua ugonjwa gani uliingia yaani shina linakuwa na njano baada ya siku3 linakauka shamba lote heka5 tukapata laki 195000 kama mauzo msataafu akaniachia mimi.

Nikamshawishi tena twende mahali kwingine tukakodi heka5 zile zile aisee hizi tulipiga hela kama vichaa

awamu nyingine nikalima nikakutana mafuriko sokoni usiombee yaani tikit kubwa kabisa unauza buku jero na wateja hakuna wiki2 fuso limemwaga tikit kidogo nizitelekeze

Tikiti kama tikiti
hatari
 
Kuna watu waliingia mkenge sana kwenye ishu ya matikiti,,,,,

Kila mtu ana angle yake ya kufanikiwa ama kutoboa,,,sijawahi kufanya kilimo cha biashara never !!! Unaweza fanikiwa ama ukazika mtaji wote
Ni kweli kabisa ni kama kubahatisha
 
Wakubwa ushauri wangu ni huu

Tafuta mbolea ya kuku ndo nzuri kwa upandaji wa tikiti . Ukishaweka kwenye mashimo yko imwagilie maji kwa muda wa siku 4 ili ipoe vizuri usipofanya hivi mbegu zako zitaungua na mbolea mna mbolea ya kuku ni kali

Kabla ya kununua mbegu angalia ardhi ipi unoenda kulimia kma ni ya mawe au udongo au kichanga mna hizi mbegu zimetofautiana ivo kulingana na ardhi sio kila mbegu inakubali kwenye ardhi yeyote ile

Ukishanunua mbegu ziroweke mbegu zako kwenye chombo chenye maji lengo la kufanya hivi ni kuibobesha mbegu yko ili ukienda kuifukia shambani iweze kupasuka haraka na kutoa mche

Nahisi wakubwa zangu mumenielewa
Hujajibu swali mbegu gani inafaa kwenye udongo gani
 
Niliwahi kushawishiwa na rafiki yangu nikanunua shamba ekari 5 nikazilima zote nikapanda haya madude wewewewe!!!! Shughuli ilianzia kwenye kuota ilikuwa mche mmoja ukiota bunju mwingine unaota kitunda mwingine vigwaza unaofuata kibaha kwa mfipa nikaona hiki kilimo na mimi never again
Sasa bwana mwaka jana nikamkodisha doctor mmoja rafiki yangu akalima zile ekari zote amevuna zaidi ya 30million.
Hata sijui shetani ananiambia nini kuhusu mwaka huu??
Mkuu hii dunia mtihani.Wengine wakifanya kitu wanafanikiwa wengine hawafanikowi.
 
Niliwahi kushawishiwa na rafiki yangu nikanunua shamba ekari 5 nikazilima zote nikapanda haya madude wewewewe!!!! Shughuli ilianzia kwenye kuota ilikuwa mche mmoja ukiota bunju mwingine unaota kitunda mwingine vigwaza unaofuata kibaha kwa mfipa nikaona hiki kilimo na mimi never again
Sasa bwana mwaka jana nikamkodisha doctor mmoja rafiki yangu akalima zile ekari zote amevuna zaidi ya 30million.
Hata sijui shetani ananiambia nini kuhusu mwaka huu??
Usiongie tamaa kumnyanga'nya bora upate hela za kukodi. Haya mambo ni magumu.
Mie hapa na strugle kupata vibarua ila kunawengine vibarua ni kugusa hata kama wanawadhulumu.
 
Kuna watu waliingia mkenge sana kwenye ishu ya matikiti,,,,,

Kila mtu ana angle yake ya kufanikiwa ama kutoboa,,,sijawahi kufanya kilimo cha biashara never !!! Unaweza fanikiwa ama ukazika mtaji wote
Ila mpaka leo tangu hiki kilimo kiinhie bado kuna watu wanalima.
Ina maana wanapata faida.
 
All the best wapambanaji
Kazi ni kipimo cha utu
 
Habari wakuu, ninaweka uzi huu mfupi kukusanya uzoefu kutk watu mbalimbali, nikiwa na uzoefu wa kulima zao hili kwa zaidi ya misimu minne tofauti, na imekuwa kila msimu ninaolima nimekuwa nikianza vizuri na hatimaye kwenye mavuno naangukia pua na kupata hasara (mambo ni mengi unaweza kuhisi hadi uchawi unahusika😄). Ikafika hatua mtaji wote Ukakata na Imebidi nirudi tena mjin kujipanga upya. Inakatisha tamaa kimsingi lakini niliapa lazima nijipange upya na nirudi tena shamba nikaikomboe😄 pesa yangu niliyoizika huko. tafadhali usisite kushare uzoefu wako, mafanikio au ulifeli wapi?
pole, ndo kilimo, cha muhimu angalia ulifeli wapi ili uweze kuamka tena kutoka hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom