mwambie ni kwa mujibu wa taarifa ya Necta.Alafu hao walioongoza ni watanzania na siyo wachaga sababu hizo shule wanasoma watanzania wote.Alafu km huupendi huo mkoa labda ukufe tu maana wa kwanza ni wa kwanza tu jambo jema ni ujifunze wa waliofanikiwa na ikibidi ushirikiane nao.Kule kwetu Jimboni Mtera mbunge wetu ni darasa la nne.