Kilimanjaro kempinski usiku na mchana

Kilimanjaro kempinski usiku na mchana

NDINDA

Platinum Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
10,726
Reaction score
49,572
daykili.jpg


kili.jpg



pool

infinitypool.jpg



gym
gym.jpg



kwa picha zaidi gonga link hii http://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=430948&page=61
 
Hotel nzuri lakini kwa ukubwa wa hiyo hotel wangetafuta GYM designer, it looks more like lounge.
 
Acheni kukurupuka uliza Wazawa ndani ambao ni wafanyakazi wanafaidi nini?
 
Acheni kukurupuka uliza Wazawa ndani ambao ni wafanyakazi wanafaidi nini?

wazawa ndani wanafaidi elimu wanayopata kwa wanaowamanage ambao wengi ni wageni, askuambie mtu katika hospitality industry unyenyekevu kwa mteja unaotakiwa mbogo wa kawaida bado sana kuufikia, angalia uwanja wa ndege, wafanyakazi wana nyodo utafikiri wapo majumbani kwao, wakati katika maeneo mengine watu wanajifunza hadi jinsi ya kutabasamu mbele ya mgeni, nilikua pale mwaka jana brother wangu ni mlinzi kk security pale , nilipita mlango wa nyumba kwenda kuonya macho mpaka kwele level 8, baa matata kule juu, hayo hapo chini kabisa kulikua na mfanyakazi mgeni, yaani management toka level ya chini ni mgeni, je ina maana watanzania wanaonewa kwa kutopewa kazi au ni kwamba hawawezi au hawapendi wenyewe? niliona wafanyakazi wengi si wazawa, ila pamoja na kuwa mimi sikua mgeni pale ila tuu nimeenda kutembelea, nilikaribishwa kila eneo kupiga picha bila tatizo , kumtosheleza (satisfyi customer)mteja katika hospitality industry or service industry ni vigumu mno kwani kufanya experience yake iwe imetoshelezwa kunaanzia mbali sana, mfano mgeni huyu amakua katika huduma nzuri toka alipotoka ila tu akikumbana na kakitu kadogo tu kanawaweza kuharibu experience yake yote ya safari, hivyo basi unyenyekevu kwa wafanyakazi kwa mgeni ni lazima uzingatie mambo mengi, ndandhani hao wafanyakazi wasio wazawa wanawafunza chochote wazawa, na ipo siku wazawa watakomaa na hawatohitaji wageni tena kufanya kazi ambazo wanaweza kufanya au ambazo ni lazima wazawa wafanye, kusimamia wafanya usafi na wabeba mizigo hawahitaji mgeni ila alikuwepo , nina experience, maoni hapo juu ni IMO
 
Kaka sekta ya utalii si kazi rahisi! Wabongo wanapenda sana kulalamika, lakini bado hawapo tayari kufanya kazi! Kufanya kazi ni kazi sana! Kunahitaji ufanye kazi kwanza ya kuweza kufanya kazi, hasa hizi kazi za hospitality!
 
kaka sekta ya utalii si kazi rahisi! Wabongo wanapenda sana kulalamika, lakini bado hawapo tayari kufanya kazi! Kufanya kazi ni kazi sana! Kunahitaji ufanye kazi kwanza ya kuweza kufanya kazi, hasa hizi kazi za hospitality!

mkuu hapa umenena
 
Wazawa wako wengi pale.Hata vyakula vingi ni vya kitanzania kama ugali, kisanvu, dagaa wa kigoma. Actually suppliers wao karibu wote ni Watz.
 
Hapo mahali Reginald Mengi anapaogopa kama Ukoma,
 
Halafu uliiona hiyo Hoteli ilivyokuwa ya umma wakati wa nyerere, nyang'anyang'a, unapishana na panya buku Simba Grill. Zee lile limejuwa kuiuwa nchi.
 
Zamani kempiski ni kali zaidi ya hii
 
Acha vyote hiyo camera iliyotumika kupiga hizi picha nadhani ni ghali sana kwa resolution hii hiyo kamera natamani ingekuwa yangu kwani hata uchafu unageuzwa maua.
 
Back
Top Bottom