Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,830
- 2,882
Mzungu anathamini muda kuliko kitu chochote. Hata elimu yao imefupishwa sana.wote wanaoenda shule wanafundishwa kwa lugha ya nyumbani ( kama unaelewa utafahamu ni kwa sababu gani) mtoto anapoingia shule ya awali anaangaliwa kipaji, kisha kinakua recorded, kwa ajili ya future reference, kwa hiyo wakisha jua hilo, mwanafunzi anakua na miaka chini ya kumi yupo chuo kikuu kuanzia alipo maliza shule ya awali.
Hiyo yote ni ku cover muda ili kuendeleza kipaji kabla mtoto hajapevuka kuingia kwenye ulimwengu wa familia kwenye kukwazika na majukumu yatakayo poteza kipaji.
MAONI: tutathmini lugha ya kufundishia, tu detect vipawa vya watoto wetu wakiwa shule za awali, tukisha elewa hivyo vipawa aendelee navyo kwa masomo yahusiyo kipawa chake.
Wasomi wa lugha wabadilishe lugha ya vitabu kwenda kwenye lugha mama. Tufupishe miaka ya shule za msingi na sekondari.
Mungu awabariki.
Hiyo yote ni ku cover muda ili kuendeleza kipaji kabla mtoto hajapevuka kuingia kwenye ulimwengu wa familia kwenye kukwazika na majukumu yatakayo poteza kipaji.
MAONI: tutathmini lugha ya kufundishia, tu detect vipawa vya watoto wetu wakiwa shule za awali, tukisha elewa hivyo vipawa aendelee navyo kwa masomo yahusiyo kipawa chake.
Wasomi wa lugha wabadilishe lugha ya vitabu kwenda kwenye lugha mama. Tufupishe miaka ya shule za msingi na sekondari.
Mungu awabariki.