Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Utangulizi
Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewa akala Mwanzo 2:6
Baada ya Mwanadamu kuhasi maelekezo ya Mungu pale bustani ya Edeni akala matunda ambayo Mungu alimuelekeza asile kitendo kile kilichofanyika bustani ya Edeni matokeo yake
Mosi Mbinguni
Mbinguni kulikuwa kimya kabsa wale Malaika watakatifu ambao kazi Yao ilikuwa ni kufurahi Kwa ajili ya Kazi ya Mungu kumuumba Mwanadamu walinyamaza kimya kukawa na kilio na kusaga maneno Kwa wale Malaika vinanda vikazimwa, matarumbeta yakazima , vinubi, matali na kila aina ya zana za uumbaji zilikoma mbinguni kukawa kimya
Luka 15:10 Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Furaha yote mbinguni ilileyuka ghafla kukawa kimya , Mungu akashikwa na mfadhaiko WA kile alichokifanya Mwanadamu akasikitika Sana Kwa kile kilichofanyika duniani.
Kutoka 32:7-8 BWANA akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibu nafsi zao,
[8]wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.
Mungu akashuka duniani ili kwenda kuangalia ni namna gani anaweza kumsaidia , akauzunika zaidi alipotegemea Mwanadamu kuomba toba ili aweze kumsaidia mwanadamu akawa mkaida wakitupiana lawama , Mungu akapata hasira akawapa adhabu wanadamu
Kutoka 32:7-8,11
[7]BWANA akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibu nafsi zao,
[8]wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.
[11]Musa akamsihi sana BWANA, Mungu wake, na kusema, BWANA, kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako uliowaleta kutoka nchi ya Misri kwa uweza mkuu, na kwa mkono wenye nguvu?
Mwishoe Mungu akawakasirikia wanadamu aliowaumba Akatoka adhabu Kwa wanadamu
Mwanzo 3:8,11 Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, BWANA Mungu asiwaone.
Mungu akasikitika Sana Kwa habari za Mwanadamu aliyemuumba na kwa sababu Mungu ni wa haki wala asemi uongo alichokisema kina kuwa na kwake hakuna upendeleo , alichokisema Kwa wanadamu kikawa
Mwz 3:11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale?
Mwanzo 2:16-17
[16]BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
[17]walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Baada ya Mungu kujiona pale bustani na mwandamu kushindwa kutumia nafasi ya kumwomba Mungu samahani Kwa kile alichofanya kuomba toba , Mungu Akatoa adhabu.
2 Wakorintho 1:20 Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi.
Zaburi 138:2 Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu,
Nitalishukuru jina lako,
Kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, Kwa maana umeikuza ahadi yako,
Kuliko jina lako lote.
Kitu ambacho kinamtofautisha Mungu wetu katika Kristo Yesu ni uhaminifu katika ahadi zake hakuna Mungu mwaminifu kama Huyu asikwambie MTU akisema kitu hakika atakitimiza
Mwanamke alipoona ya kuwa ule mti wafaa kwa chakula, wapendeza macho, nao ni mti wa kutamanika kwa maarifa, basi alitwaa katika matunda yake akala, akampa na mumewa akala Mwanzo 2:6
Baada ya Mwanadamu kuhasi maelekezo ya Mungu pale bustani ya Edeni akala matunda ambayo Mungu alimuelekeza asile kitendo kile kilichofanyika bustani ya Edeni matokeo yake
Mosi Mbinguni
Mbinguni kulikuwa kimya kabsa wale Malaika watakatifu ambao kazi Yao ilikuwa ni kufurahi Kwa ajili ya Kazi ya Mungu kumuumba Mwanadamu walinyamaza kimya kukawa na kilio na kusaga maneno Kwa wale Malaika vinanda vikazimwa, matarumbeta yakazima , vinubi, matali na kila aina ya zana za uumbaji zilikoma mbinguni kukawa kimya
Luka 15:10 Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Furaha yote mbinguni ilileyuka ghafla kukawa kimya , Mungu akashikwa na mfadhaiko WA kile alichokifanya Mwanadamu akasikitika Sana Kwa kile kilichofanyika duniani.
Kutoka 32:7-8 BWANA akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibu nafsi zao,
[8]wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.
Mungu akashuka duniani ili kwenda kuangalia ni namna gani anaweza kumsaidia , akauzunika zaidi alipotegemea Mwanadamu kuomba toba ili aweze kumsaidia mwanadamu akawa mkaida wakitupiana lawama , Mungu akapata hasira akawapa adhabu wanadamu
Kutoka 32:7-8,11
[7]BWANA akamwambia Musa, Haya! Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibu nafsi zao,
[8]wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyizia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu, wakasema, Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri.
[11]Musa akamsihi sana BWANA, Mungu wake, na kusema, BWANA, kwa nini hasira zako kuwaka juu ya watu wako uliowaleta kutoka nchi ya Misri kwa uweza mkuu, na kwa mkono wenye nguvu?
Mwishoe Mungu akawakasirikia wanadamu aliowaumba Akatoka adhabu Kwa wanadamu
Mwanzo 3:8,11 Kisha wakasikia sauti ya BWANA Mungu, akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, BWANA Mungu asiwaone.
Mungu akasikitika Sana Kwa habari za Mwanadamu aliyemuumba na kwa sababu Mungu ni wa haki wala asemi uongo alichokisema kina kuwa na kwake hakuna upendeleo , alichokisema Kwa wanadamu kikawa
Mwz 3:11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale?
Mwanzo 2:16-17
[16]BWANA Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
[17]walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Baada ya Mungu kujiona pale bustani na mwandamu kushindwa kutumia nafasi ya kumwomba Mungu samahani Kwa kile alichofanya kuomba toba , Mungu Akatoa adhabu.
2 Wakorintho 1:20 Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi.
Zaburi 138:2 Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu,
Nitalishukuru jina lako,
Kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, Kwa maana umeikuza ahadi yako,
Kuliko jina lako lote.
Kitu ambacho kinamtofautisha Mungu wetu katika Kristo Yesu ni uhaminifu katika ahadi zake hakuna Mungu mwaminifu kama Huyu asikwambie MTU akisema kitu hakika atakitimiza