Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
UTANGULIZI
Watu wengi kutokana na kutaka kuufurahisha mwili wamejikuta wakijiingiza kwenye matatizo makubwa ya kifamilia, kikazi , Kiuchumi etc
Ulishawai kujiuliza MTU anafamilia yake nzuri Tu mke na watoto anahamua Tu kutembea na house girl Kisa kavutiwa na mwili wake
Unamkuta binti Kwa sababu ya kutaka kuhurizisha mwili anajiingiza kwenye tabia ambazo hazifai lengo Tu kupata pesa ili aweze kuwa na nywele nzuri, simu nzuri , Maisha flani hivi
Au unamwona kijana Yuko busy na gym kutengeneza mwili kwa lengo la kuwavutia wakina mama ili aweze kujipatia kipato Kwa mwili wake, kupitia wamama wanaopenda miili ya vijana
Tena Mambo yamekwenda mbali juzi Tu hapa nilosoma habari ya vijana huko nchi jirani vijana wakiume wanajiuza kwa wakina mama kwa ajili ya kujipatia kipato tena wako kwenye mitandao na wengi wao ni miaka 20's
Umeshawai kujiuliza kwanini mwili umekuwa chanzo kikubwa cha kuwaongiza watu kwenye dhambi ?
Mwili ni nini?
Mwili wa mwanadamu uliumbwa na Mungu kutoka kwenye mavumbi
Mwanzo 2:7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Kusudi la Mungu
Kusudi la Mungu kwa mwandamu lilikuwa mwanadamu kuishi milele katika mwili huu WA vumbi ndio maana katika bustani ya Edeni kulikuwa na mti wa uzima Ambao mwandamu alipewa kwa ajili ya chakula
Mwanzo 2:9 BWANA Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
Mabadiliko ya Mpango
Kilichosababisha Mungu kubadili mpango wa mwanadamu
Watu wengi kutokana na kutaka kuufurahisha mwili wamejikuta wakijiingiza kwenye matatizo makubwa ya kifamilia, kikazi , Kiuchumi etc
Ulishawai kujiuliza MTU anafamilia yake nzuri Tu mke na watoto anahamua Tu kutembea na house girl Kisa kavutiwa na mwili wake
Unamkuta binti Kwa sababu ya kutaka kuhurizisha mwili anajiingiza kwenye tabia ambazo hazifai lengo Tu kupata pesa ili aweze kuwa na nywele nzuri, simu nzuri , Maisha flani hivi
Au unamwona kijana Yuko busy na gym kutengeneza mwili kwa lengo la kuwavutia wakina mama ili aweze kujipatia kipato Kwa mwili wake, kupitia wamama wanaopenda miili ya vijana
Tena Mambo yamekwenda mbali juzi Tu hapa nilosoma habari ya vijana huko nchi jirani vijana wakiume wanajiuza kwa wakina mama kwa ajili ya kujipatia kipato tena wako kwenye mitandao na wengi wao ni miaka 20's
Umeshawai kujiuliza kwanini mwili umekuwa chanzo kikubwa cha kuwaongiza watu kwenye dhambi ?
Mwili ni nini?
Mwili wa mwanadamu uliumbwa na Mungu kutoka kwenye mavumbi
Mwanzo 2:7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
Kusudi la Mungu
Kusudi la Mungu kwa mwandamu lilikuwa mwanadamu kuishi milele katika mwili huu WA vumbi ndio maana katika bustani ya Edeni kulikuwa na mti wa uzima Ambao mwandamu alipewa kwa ajili ya chakula
Mwanzo 2:9 BWANA Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
Mabadiliko ya Mpango
Kilichosababisha Mungu kubadili mpango wa mwanadamu