Kilichotokea Arusha katika picha

mpendwa,

huyo anayehutubia ndo lema mwenyewe??
 
Hizo picha zinasaidia vipi kutatua shida tulizo nazo?.
 
Asante mkuu, endelea kutu-update kamanda anavyotoka gerezani
 
mkuu kwani mahakama inaendelea hadi sasa?
 
Tuna hitaji update zaidi.Asante kwa hapoulipofikia
 
jamani watu ni wengi sana hapa nmc hakika arusha ni chadema..
 
bado viongozi wanasubiliwa..
 
Mungu mkubwa hakika CHADEMA tunaye MUNGU anayetupigania wakati CCM wanao mafisadi na polisi wanaowapigania,VIVA CHDEMA
 
jamani watu ni wengi sana hapa nmc hakika arusha ni chadema..

Bila shaka hii ni rekodi nyingine mpya kwa hapa NMC na hakika CDM ndiyo NGUVU ya UMMA yenyewe. Na naona Makamanda wameshatua na WAKO FLUUUU!!
 
ubaarikiwe ulimwengu wa leo ni wa habari moto moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…