Kilichoponza Koffi Olimide hiki hapa

the way linavyokatika mauno tu unajua lile libaba ni buwa kabisa..na yule kubeba "mtondoo" hawezi na ili abebewe wafungwa wenzake lazima wamgegede maana hakuna namna sasa..

Alah laweza kuwa libwabwa sio! Ha ha ha!
 
Siku chache baada ya Papaa Koffi Langa Mususu Olomide kukamatwa Kinshasa na kupandishwa kizimbani kisha kuhukumiwa kifungo taarifa zisizo na mashaka kutoka CongoDR zimebaini kilichomponza Koffi ni uswahiba wake na hasimu mkubwa wa Rais Kabila Papaa Moise Katumbi.
Ukweli huo umebainika baada ya mwendesha mashtaka kumtia hatiani Koffi na kumfunga bila faini pamoja mhusika aliyefanyiwa tukio hilo mnenguaji wake kukiri kuwa hakupigwa na teke na Koffi.
Koffi amekuwa na urafiki wa muda mrefu na Katumbi ambaye ni mmiliki wa timu ya TP Mazembe ambaye awali alitangaza kugombea Urais wa CongoDR na lakini akaishia kufungwa akiwa nje ya Congo kwa madai ya kuhifadhi wahamiaji na kukwepa kodi.
Koffi aliwahi kumtungia wimbo Moise Katumbi na uswahiba wao pia unahusishwa na ujenzi wa ngome nzito ya kimkakati inayoweza kumshinda Kabila katika uchaguzi. Tayari Katumbi yuko nchini UK uhamishoni alikoenda akitokea Afrikakusini alikokuwa kimatibabu na hukumu ya miaka mi3 jela ilimkuta akiwa huko.

Ni vizuri kuukubali ukweli hata kama ukweli siyo utamaduni wa msemaji. Video clip inaonyesha alimpa teke, mnenguaji akaanza kuondoka kwa hofu akijiokoa, olomide akaendelea kumfuatia akimnyooshea kidole. Hicho kitendo ni kosa kisheria ama ni haki kwa sheeria za kongo?

Kama ni kosa kisheria, mlitaka limalizwe ki lugumi lugumi tu? Hii lugumiism ni international law?

Kutokuwa rafiki wa huyo mnayesema ni adui wa kabila, kungefutaje hili kosa?

Kama asingefanya kosa, angeshitakiwa kwa kuwa na uhusiano na adui wa kabila?

Kwa hiyo kesi hiyo kabambikizwa?

Katika sheria za Tanzania, kuna makosa mangapi ambayo yamempa hakimu haki ya kuamua faini, jela, vyote ama kimoja?

Yule mneguaji wewe ulimwona akihojiwa na CITIZEN vile alikuwa kama katoka kulia sana?

Unaona vile alilazimisha kumpiga busu jambazi na tabasamu la kulazimisha na vile olomide alikuwa najipendekeza kwake? Hukuona hiyo picha ya kuumba?

Uliona machozi yalivyomlenga lenga wakati mtangazani anahoji na kujibishana na olomide habari za Cindy?

Kwa nini msiwe we kwali tu ndugu zangu, kuepuka hatia za upotoshaji ambazo wala hazina ulazima?

Olomide alimpiga yule binti, awe ni hasimu ama rafiki wa kabila. Katika sehemu yoyote inayojali utu wa binadamu, na penye utawla wa sheria, olomide alifanya jinai na lazima alikuwa ahukumiwe kwa sheria? Mlitaka aachwe tu kwa ajili pengine hapo kwenu hadi waziri wa mambo ya ndani ndiye anaweza kufuatilia haki?

I wish Mwigulu angefuatilia mauaji a Mwangosi, Mawazo, na wengine waliouawa na kesi zao kupotezewa kwa sababu tu serikali iko kwa maslahi ya kundi dogo la watu wa chama cha siasa.

Ninahuzuni!
 
Ushabiki tuache pembeni, Kofi alimpiga teke yule dada. anastahili adhabu urafiki na Katumbi hayo ni mengine. yy angeomba msamaha umma wa dunia na kuacha hyo tabia ya kupiga na kuwalazimisha kufanya mapenzi stage show wake kwani ukisikiliza history yake, si mara ya kwanza kufanya majambo km haya na yanayofanana
Halafu matukio haya kwa Koffi si mara ya kwanza, miaka miwili nyuma alishitakiwa kwa kumpiga producer wake studio kama haitoshi aliwahi pia kumpiga mwandishi wa habari bado wadau hamuoni kwamba sasa anahitaji correction point.....?? Habari za siasa ni visingizio vyetu waafrika tulio wengi na tunatumia sana politics aidha kujificha dhidi ya maovu yetu au kuombea sympathy pale tunapokosea.........
 
Ushabiki tuache pembeni, Kofi alimpiga teke yule dada. anastahili adhabu urafiki na Katumbi hayo ni mengine. yy angeomba msamaha umma wa dunia na kuacha hyo tabia ya kupiga na kuwalazimisha kufanya mapenzi stage show wake kwani ukisikiliza history yake, si mara ya kwanza kufanya majambo km haya na yanayofanana

Ni kwel alimpiga lkn angepigwa faini kubwa Sana hata wangemwambia amlipe yule dada hata bilion 1! Kwa udhalilishaji. Ingemtoa yule dada kimaisha. Kumfunga tu ndo inaleta picha kua Kuna siasa nyuma yake.
 
Siasa zetu bara la Afrika figisu hazikosekani. Kusema hivyo si kwamba naamini asilimia 100% uliyosema. Ningeomba ufafanuzi ni namna gani sheria ilikiukwa ktk hiyo hukumu? Umezungumzia kidogo kuhukumiwa bila faini.
Ni vipengele gani vya sheria vilikiukwa?
 
hiki ni kipaji kingine cha watu weusi wanapenda sana siasa hata kwenye vtu vicvyoitaji siasa wataungaunga picha mpaka ionekane ni siasa sasa wao ndo walimtuma akampige yule dancer wake ili waje wamkamate huyu ni muhalifu na kafanya makosa sheria imechukua mkondo wake kapelekwa panapo staili kwa kile alichokifanya bhasi hayo mengine ni porojo tu za vjiweni
 
Watu wafanye maovu afu wategemee kujificha kwenye migogo ya SIASA...
Hizo adhabu ni saizi yake...
 
Hii ni sawa na Babu Seya..
Mtu akiwa maharufu ni ruksa hata kubaka...
Tuwaze kutumia akili si hisia au mahaba
 
H
Ushabiki tuache pembeni, Kofi alimpiga teke yule dada. anastahili adhabu urafiki na Katumbi hayo ni mengine. yy angeomba msamaha umma wa dunia na kuacha hyo tabia ya kupiga na kuwalazimisha kufanya mapenzi stage show wake kwani ukisikiliza history yake, si mara ya kwanza kufanya majambo km haya na yanayofanana
Hakumpiga, period
 
Ngozi nyeusi, hata nyama haiwezi fanana na mzungu, hadi roho ni nyeusi tu!!

Russia faces one of the biggest judgments on the Putin-Medvedev leadership tomorrow with the culmination of the latest legal case against Mikhail Khodorkovsky, the oil billionaire and one-time political contender who has been in jail on fraud charges since 2003.

The case against Khodorkovsky, once Russia's richest man, has been seized upon as a barometer of Russia's political climate. Another lengthy jail term for the man once seen as a threat to Vladimir Putin's pre-eminence is likely to indicate a further retrenchment of the forces of Soviet-style justice hostage to the whims of its leaders; a lesser verdict — or an unlikely acquittal — will be seen as a victory for forces of reform.

The case is the second against Khodorkovsky and his former business partner Platon Lebedev, who were dramatically arrested in 2003 and convicted of fraud and tax evasion two years later. Khodorkovsky's oil empire, built up through the corrupt privatisation auctions in the 1990s, was crudely appropriated and appended to the apparatus of the state. But from his jail cell in Siberia, and latterly Moscow, the former tycoon has grown into an unlikely figurehead for the fractured and emasculated opposition in Russia.


The latest case against the pair was brought in 2007, when prosecutors presented fresh charges against the two men, this time for allegedly embezzling over 200 million tonnes of oil and laundering the proceeds. Throughout the trial Khodorkovsky would point to the absurdity of the two cases: evading taxes on laundered money does not make much sense.

The trial has lasted nearly two years. The prosecutor spent several months reading the 3,500-page indictment in a low mumble. More than 100 witnesses were called. In a surprise move, former economy minister German Gref and energy minister Viktor Khristenko agreed to testify.
20russia-master1050.jpg


Na aliambukizwa HIV kwa sindano akiwa jela.
 
Nafikiri hoja ya msingi hapa ni kwamba alimpiga au hakumpiga. Ina maana Kenya nao walipoamua kumfukuza nchini mwao sababu ni nini...tena hata bila kujali athari za kiuchumi? Na je Zambia walipoamua kumgomea kuitembelea nchi hiyo kwa kosa hilo hilo la Kenya nao wamemuonea????

Si sahihi kuingiza kila kitu kwenye siasa. Hata kama ni kweli kufungwa kwake huko Congo kwao kuna msukumo wa kisiasa lakini ukweli ni kwamba judgement iko based kwenye kosa alilofanya na sio vinginevyo.

Tuendelee kuwa raia wema. Tusijifiche nyuma ya siasa na kutafuta huruma huku tukivunja sheria. Haitasaidia !!!
 
Sijui tumuombe Mungu dua gani ili atusikilize Waafrika, sometimes nahisi kama sisi wenyewe tumejilaani.
jamani mbona mnapenda kujilaani namna hiyo? mbona hii kitu iko duniani kote? ZABURI 109, inasema 'kwa kuwa umependa kulaani kuliko kubariki, mabaya hayata kutoka wewe na kizazi chako. HUU MCHEZO WA KUPENDA KULAANI BARA LA AFRICA AU NCHI YETU TANZANIA LAZIMA UFE KUANZIA LEO!....Bariki ili nawe ubarikiwe! lazima ujithamini!...barikiwa my friend
 
Russia faces one of the biggest judgments on the Putin-Medvedev leadership tomorrow with the culmination of the latest legal case against Mikhail Khodorkovsky, the oil billionaire and one-time political contender who has been in jail on fraud charges since 2003.
asante sana...ubarikiwe sana
The case against Khodorkovsky, once Russia's richest man, has been seized upon as a barometer of Russia's political climate. Another lengthy jail term for the man once seen as a threat to Vladimir Putin's pre-eminence is likely to indicate a further retrenchment of the forces of Soviet-style justice hostage to the whims of its leaders; a lesser verdict — or an unlikely acquittal — will be seen as a victory for forces of reform.

The case is the second against Khodorkovsky and his former business partner Platon Lebedev, who were dramatically arrested in 2003 and convicted of fraud and tax evasion two years later. Khodorkovsky's oil empire, built up through the corrupt privatisation auctions in the 1990s, was crudely appropriated and appended to the apparatus of the state. But from his jail cell in Siberia, and latterly Moscow, the former tycoon has grown into an unlikely figurehead for the fractured and emasculated opposition in Russia.


The latest case against the pair was brought in 2007, when prosecutors presented fresh charges against the two men, this time for allegedly embezzling over 200 million tonnes of oil and laundering the proceeds. Throughout the trial Khodorkovsky would point to the absurdity of the two cases: evading taxes on laundered money does not make much sense.

The trial has lasted nearly two years. The prosecutor spent several months reading the 3,500-page indictment in a low mumble. More than 100 witnesses were called. In a surprise move, former economy minister German Gref and energy minister Viktor Khristenko agreed to testify.
20russia-master1050.jpg


Na aliambukizwa HIV kwa sindano akiwa jela.
 
Siku chache baada ya Papaa Koffi Langa Mususu Olomide kukamatwa Kinshasa na kupandishwa kizimbani kisha kuhukumiwa kifungo taarifa zisizo na mashaka kutoka CongoDR zimebaini kilichomponza Koffi ni uswahiba wake na hasimu mkubwa wa Rais Kabila Papaa Moise Katumbi.
Ukweli huo umebainika baada ya mwendesha mashtaka kumtia hatiani Koffi na kumfunga bila faini pamoja mhusika aliyefanyiwa tukio hilo mnenguaji wake kukiri kuwa hakupigwa na teke na Koffi.
Koffi amekuwa na urafiki wa muda mrefu na Katumbi ambaye ni mmiliki wa timu ya TP Mazembe ambaye awali alitangaza kugombea Urais wa CongoDR na lakini akaishia kufungwa akiwa nje ya Congo kwa madai ya kuhifadhi wahamiaji na kukwepa kodi.
Koffi aliwahi kumtungia wimbo Moise Katumbi na uswahiba wao pia unahusishwa na ujenzi wa ngome nzito ya kimkakati inayoweza kumshinda Kabila katika uchaguzi. Tayari Katumbi yuko nchini UK uhamishoni alikoenda akitokea Afrikakusini alikokuwa kimatibabu na hukumu ya miaka mi3 jela ilimkuta akiwa huko.
Je alimpiga teke au hakumpiga?
 
Jamaaa muongo ww kama vp weka na video ya lile tukio basi.kama jamaaa hakumpiga yule demu. Plz
 
Back
Top Bottom