Kilichompata Sumaye, chaweza kumtokea Majaliwa?

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,658
15,793
Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
upload_2017-5-17_14-19-32.jpeg
 
Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
View attachment 510589

Sidhani kama mtu ambaye ameshafikia hatua ya kuwa waziri mkuu tena kwa miaka kumi anatakiwa kuwa frustrated kwa tenure yake kuisha. Kwanza, kazi yenyewe inachosha sana kwa hiyo ni vyema kabisa mtu ukajiepusha na active politics Mungu akikuwezesha kumaliza salama. Kwa mtu anayejitambua vizuiri, kuna mambo mengi tu anaweza kufanya hata kama bado taratibu za utumishi zitamweka kando akiwa na nguvu. Kwa retirement benefits na pension wanayopata viongozi wa ngazi hii, ni wakati wa kuonesha kwa vitendo yale yote uliyokuwa unahubiri majukwaani kwa miaka 10. Mfano mzuri sana japo umri wake umeenda ni Mzee Pinda, Kayanza.
 
Sidhani kama mtu ambaye ameshafikia hatua ya kuwa waziri mkuu tena kwa miaka kumi anatakiwa kuwa frustrated kwa tenure yake kuisha. Kwanza, kazi yenyewe inachosha sana kwa hiyo ni vyema kabisa mtu ukajiepusha na active politics Mungu akikuwezesha kumaliza salama. Kwa mtu anayejitambua vizuiri, kuna mambo mengi tu anaweza kufanya hata kama bado taratibu za utumishi zitamweka kando akiwa na nguvu. Kwa retirement benefits na pension wanayopata viongozi wa ngazi hii, ni wakati wa kuonesha kwa vitendo yale yote uliyokuwa unahubiri majukwaani kwa miaka 10. Mfano mzuri sana japo umri wake umeenda ni Mzee Pinda, Kayanza.
CC Wassira...
 
Kati ya hiyo miaka 10, alikuwa Marekani, sijui kwa miaka mingapi kama mwanafunzi.
Ila kurudi tena katika siasa ni utashi wa mtu binafsi, waziri mkuu wa sasa ambaye hata haijulikani kama atadumu kwa muda gani, (mwenzake alidumu miaka 10)anaweza kuwa na mazingira tofauti.
 
Huu ni Uzi wa Kipuuzi kupata kuanzishwa. Na inashangaza wameuachaje huu uzi wa watu ambao hawana Vyeti. Na ukarudishe cheti Cha mwenzio.
 
Sumaye anaponzwa na Tamaa na kuwa zero thinker. Hana tofauti sana na mamnvi. Hawa wange kuwa DRC wangekuwa war lords.

Tumshukuru mungu tanzania tumejenga misingi ya usalama.

Kwa ufupi ni mfano wa hovyo katika jamii yetu hawana sifa ya kuigwa kwa kiwango chochote kile.
 
Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
View attachment 510589
Sumaye hakuenda wala hakusapoti upinzani kwa sababu ya kusahauliwa na CCM. Kilichompeleka upinzani ni tamaa baada ya kutakiwa awe back-up eti kiongozi maarufu wa CCM aliyehamia upinzani angeishiwa nguvu njiani hivyo yeye Sumaye ange take over kutokana na uzoefu wake. Matokeo yake Sumaye ana regret ile mbaya kwa sababu kiongozi aliyetarajiwa kukosa nguvu anaendelea kuwa strong na pia yeye na huyo jamaa ni pua na moshi.
 
Not Necessarly...ila CCM huwa wana roho na maamuzi yaumizayo sana.

Hayo yameanza kumtokea Nape, atakayefuatia ni Kinana.

Usicheze na polepole na Bashite weyee...wapishi wa fitina.
Pole Pole hana alijualo ni bendera tu na mchumia tumbo. Akiambiwa ruka anauliza kimo gani. A puppet in every essence of it. Hii ni hatamu ya Bashite na kipenzi chake na wao pia watapita.
 
Pengo lake litazibika kwa haraka na Paul Makonda kwa kuwa tutakuwa tumempa jimbo la Misungwi 2020! (Rejea; kama huridhiki na utendaji wa CCM hama chama)
 
Boss Nichumu Nibebike nimeona Hoja na Point yako hapo ila tatizo lako umejaza maneno mengi. Ungesema kwenye Conclusion yako kwa kuwaasa Viongozi, Uongozi ni Dhamana, na hawatakuwa Viongozi milele. Cha muhimu wajali Sheria na Katiba ya Nchi. Waache Ushabiki wa Vyama na Maslahi Binafsi.

Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
View attachment 510589
 
Sumaye alifikia kupata madaraka makubwa katika 'umri mdogo'... Baada ya kustaaf uwaziri mkuu, CCM ilimtupa nje ya system kwa mda wa miaka kumi, na bahati mbaya hakuwa na michongo ya kimataifa kama waliyonayo 'watoto wa mjini' kina JK na BWM...
Basi kwa kuwa hakuwa na la kufanya tena hapa town, ikabidi akajifungie zake Kibaha, na alikaa katika jela hiyo kwa mda wa miaka kumi.
Hii ndio ilikua chanzo cha Sumaye kupandwa na hasira kuona kwa nini CCM imemtelekeza akaamua kulipizia machungu yake kwa kuwasupport upinzani.

Hofu yangu ni kuwa, baada ya miaka nane, Majaliwa bado atakuwa 'kijana mbichi' na huenda angependa kuwepo kwenye political stage.
Wasi wasi wangu ni kuwa baada ya kumaliza kipindi cha uwaziri mkuu, chama kitamuweka kando na political elite mpya itazaliwa.
Majaliwa huenda hatofurahia kukaa kando kama ilivyokuwa kwa Sumaye, naye ataweza kuamua kukiadhibu chama kama alivyofanya Sumaye...
Kwa hiyo kwa kuwa lolote laweza kutokea, ni vyema Kassim akajiandaa kisaikolojia mapeema ili asije kuwa frustrated na chama chake...
View attachment 510589
Elimu ya Sumaye nayo ilikuwa ni shida.
Kwani alikuwa halipwi stahiki za u PM?
 
Back
Top Bottom