Kilicho nikimbiza chadema hiki hapa

Kilicho nikimbiza chadema hiki hapa

Status
Not open for further replies.

Mwenezi ACT

Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
36
Reaction score
7
Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
 
kisa jengo kimekufanya ukiembie, haya sasa huko ACT itabidi nako ukimbie kwa vile Ayattolah anendesha chama kama Mswati, Aidha ACT ni mchepuko wa CCM, na tatu Lowassa huenda akapitishwa CCM hivyo hata kuja huko mnako msubiri kama masiya
 
Kweli mleta mada umelewa ulanzi si bure, taifa limepata hasara kubwa kwa kuwa na vichwa panzi kama nyie msiojielewa
 
Mleta uzi ni mpuuzi kweli kweli! Kama umehama we hama tu, kimbia tu tena sasa
 
Unajiita mwenezi act na bado unakurupuka na thread za kipuuzi kama hizi!
-kweli wewe umechanganyikiwa!
 
Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
Mamamae ulikokimbilia nako umeangukia mikononi mwa Aya.to.llah Luholla Khomeiney, sasa utatorokea wapi? Na ulikuwa na cheo gani kwenye chama mpaka useme ulichoka kulipa kodi ya pango, wewe ni nani? Huna lolote!!
 
Thread Closed natamka kwa makamanda wote!
 
Mwnyekiti amekuwa mbishi kujenga jengo la makao makuu. Nikachoka kulipa kodi kuchangia jengo lake. Hapo kweli nikaamini ile ni SACCOS, kama ni chama chenye maslahi kwa watanzania Mhe (...) mshaurini asichukue tena kodi.
Kwa hiyo jengo la Ufipa ni mali ya Mwenyekiti? Mkuu lete ushahidi tutangie. Mkuu Ritz umesikia hii?
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom