Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu nchini Geofrey Kiliba awaambia Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu wakemee wanaotaka kuvuruga Amani ya Nchi.
Kiliba ameyasema hayo katika Kongamano la Mama asemewe lililofanyika mkoani Iringa.
Kiliba ameyasema hayo katika Kongamano la Mama asemewe lililofanyika mkoani Iringa.