PreGE2025 Kiliba: Tunahitaji kiongozi wa kutuletea maendeleo

PreGE2025 Kiliba: Tunahitaji kiongozi wa kutuletea maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu nchini Geofrey Kiliba awaambia Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu wakemee wanaotaka kuvuruga Amani ya Nchi.

Kiliba ameyasema hayo katika Kongamano la Mama asemewe lililofanyika mkoani Iringa.
 
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu nchini Geofrey Kiliba awaambia Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu wakemee wanaotaka kuvuruga Amani ya Nchi.

Kiliba ameyasema hayo katika Kongamano la Mama asemewe lililofanyika mkoani Iringa.
View attachment 3337314
Punjabi kabisa ! Maendeleo gani mliyoyapata!
 
Back
Top Bottom