Kiliba: Kuwa Rais wa TAHLISO sio kizuizi kumpongeza rais Samia

Kiliba: Kuwa Rais wa TAHLISO sio kizuizi kumpongeza rais Samia

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,229
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Bw. Geofrey Kiliba, amesema kuwa wadhifa wake ndani ya jumuiya hiyo haumzuii kutoa pongezi kwa viongozi wa serikali wanaotekeleza wajibu wao ipasavyo kwa manufaa ya wananchi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kiliba alisisitiza kuwa TAHLISO haijajikita kumpigia chapuo Rais Samia Suluhu Hassan, bali maoni yake ni ya utashi binafsi kufuatia mafanikio makubwa ambayo Rais Samia ameyatekeleza tangu aingie madarakani.

“Wapo wanaomtazama Rais Samia kwa mitazamo mbalimbali – kama Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, au kama Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi. Mimi namzungumzia kama Rais wa nchi yangu, na mimi ni sehemu ya wananchi wake,” alisema Kiliba.

 
Mnampaisha sana dogo mwacheni, anaelekea kuacha masomo sasa,

Hatukatai kupongeza ila huwezi kupongeza kila kitu wakati ndugu zetu wameumia ,haki kwa wote
 
Kafala katarajiwa ka ccm,kasenge kana nyege ya uteuzi
 
Kayuvisisiumu kanijifichia kwenye Tahiliso

No reform No Election
 
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Bw. Geofrey Kiliba, amesema kuwa wadhifa wake ndani ya jumuiya hiyo haumzuii kutoa pongezi kwa viongozi wa serikali wanaotekeleza wajibu wao ipasavyo kwa manufaa ya wananchi.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kiliba alisisitiza kuwa TAHLISO haijajikita kumpigia chapuo Rais Samia Suluhu Hassan, bali maoni yake ni ya utashi binafsi kufuatia mafanikio makubwa ambayo Rais Samia ameyatekeleza tangu aingie madarakani.

“Wapo wanaomtazama Rais Samia kwa mitazamo mbalimbali – kama Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, au kama Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi. Mimi namzungumzia kama Rais wa nchi yangu, na mimi ni sehemu ya wananchi wake,” alisema Kiliba.

Nchi inatumia pesa nyingi sana kusomesha wasomi ambao ni mizigo kwa taifa hawafikilii wafanye nini kuwapatia fursa vijana walioko chuo wako bize kusaka teuzi. Shame to you TAHLISO
 
Back
Top Bottom