maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,317
- 1,790
Mama Samia leo alikuwa mgeni rasmi kaika kusherehekea miaka 43 ya CCM. Kila mwaka CCM wamekuwa wakiidhimisha siku ya kuzaliwa chama chao.
Mbona sijawahi kusikia vyama vingine mfano, CUF, CHADEMA, TLP, ACT na vinginevyo vikiadhimisha siku za kuzaliwa vyama hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona sijawahi kusikia vyama vingine mfano, CUF, CHADEMA, TLP, ACT na vinginevyo vikiadhimisha siku za kuzaliwa vyama hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app