Kile kilifanyika CHADEMA, Kitajirudia CCM

Kile kilifanyika CHADEMA, Kitajirudia CCM

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,753
Reaction score
4,800
Wadau wa jukwaa hili, bila shaka mko vizuri mnafuatilia bunge la bajeti.

Kwa macho ya rohoni, ninaona kile kilifanyika CHADEMA, kitajirudia CCM.

Mtakumbuka kwamba Mh. TAL hakuwa na kusudi la kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama ila alilazimika kufanya hivyo kwa kuwa M/kiti aliyekuwepo muda huo, alitaka kumhujumu kwa kumletea Wenje ili amtoe kabisa kwenye mfumo.

Baada ya TAL kuona hana cha kupoteza, akaamua kujitosa kugombea nafasi ya Mwenyekiti.

Hivyo hivyo, naliona hili katika ulimwengu wa roho linakwenda kutokea hata kwenye chama tawala.

Mh. Gwajiboy hana cha kupoteza, hivyo sitashangaa kuona akichuana na M/kiti wake Sa100 kupeperusha bendera ya Urais wa JMT 2025.

MUNGU ibariki Tanzania,
Amin.
 
Wadau wa jukwaa hili, bila shaka mko vizuri mnafuatilia bunge la bajeti.

Kwa macho ya rohoni, ninaona kile kilifanyika CHADEMA, kitajirudia CCM.

Mtakumbuka kwamba Mh. TAL hakuwa na kusudi la kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama ila alilazimika kufanya hivyo kwa kuwa M/kiti aliyekuwepo muda huo, alitaka kumhujumu kwa kumletea Wenje ili amtoe kabisa kwenye mfumo.

Baada ya TAL kuona hana cha kupoteza, akaamua kujitosa kugombea nafasi ya Mwenyekiti.

Hivyo hivyo, naliona hili katika ulimwengu wa roho linakwenda kutokea hata kwenye chama tawala.

Mh. Gwajiboy hana cha kupoteza, hivyo sitashangaa kuona akichuana na M/kiti wake Sa100 kupeperusha bendera ya Urais wa JMT 2025.

MUNGU ibariki Tanzania,
Amin.
Acha kuota kwa chama kipi? Akijitokeza wanamkamata
 
Mh. Gwajiboy hana cha kupoteza, hivyo sitashangaa kuona akichuana na M/kiti wake Sa100 kupeperusha bendera ya Urais wa JMT 2025.🥺🥺🥺😂
Sasa hivi wanamlia timing kumfukuza chamani na ubunge.

Hajahudhuria vikao tangu waanze kumtafuta.

Sijui ni vikao vingapi anaruhusiwa kukosa kabla spika hajamkaripia.
 
Kwa ccm haiwezi kutokea kwasababu mchakato wa kumpata mgombea urais Tyr ulishakamilika
 
Si walishamaliza hiyo habari kipindi kile kule Idoddomya au kuna jipya laja?
 
Back
Top Bottom