Kila siku wewe tu ndo kikwazo jamaniiiiiiiiiii

Nimejaribu kupakapaka rangi hayo maneno wakati natafakari I can't wait eti atabadilika lini kwani mimi nesi mpaka kuniandaa kuuguza migonjwa anayo jitafutia ???

haya nimekupata imependeza kweli kumbe bado unafanya hii kazi ya kupaka rangi madaftari mh nilijua uliachia msingi
 
haya nimekupata imependeza kweli kumbe bado unafanya hii kazi ya kupaka rangi madaftari mh nilijua uliachia msingi

mi kiboko kwa rangi nilianzia kwenye barua za ''silali usingizi nakuota! ha ha haaaa!''
 
Duh! sipati picha, hebu chukulia huyo m2 ni mchele halafu hayo madhaifu ni viungo nahisi ukichanganya wala huwezi pata pilao au aina yoyote ya chakula kitokanacho na mchele, kwa maana hiyo basi hata ukimwachia Mungu utakuwa unawachelewesha wengine kuhudumiwa. Km ni mwenzi wako mwache aendelee na huo utawala wa mwovu we sepa zako.
 
kwakweli hizo sifa ulizotoa, kama bado unaishi naye basi utakua umeikosea sana na kuidhulumu nafsi yako! hizo ni sifa za mtu ambaye hawezi kuishi na watu.
Maisha yenyewe ndo haya...tena uishi na mtu wa hiyo, mwe!
 
kwakweli hizo sifa ulizotoa, kama bado unaishi naye basi utakua umeikosea sana na kuidhulumu nafsi yako! hizo ni sifa za mtu ambaye hawezi kuishi na watu.
Maisha yenyewe ndo haya...tena uishi na mtu wa hiyo, mwe!

umeona na bado anajiona yuko sawa kabisa tena anajiona kaona mji kumbe ndo kufa masikini
 
Duh! sipati picha, hebu chukulia huyo m2 ni mchele halafu hayo madhaifu ni viungo nahisi ukichanganya wala huwezi pata pilao au aina yoyote ya chakula kitokanacho na mchele, kwa maana hiyo basi hata ukimwachia Mungu utakuwa unawachelewesha wengine kuhudumiwa. Km ni mwenzi wako mwache aendelee na huo utawala wa mwovu we sepa zako.


madai yake mfumo dume jamani ndo hivi au huu mfumo wa ujinga wake
 
mh,hayo mazito. ingawa ndoa ni mpaka kifo ila kwa tabia hzo wallah sitovumilia. atajijua ye na Mungu wake lol. . .
 
huyu anafaa kuwa mwanaume mkomavu mwenye kumiliki watoto wa jinsia zote ?????/[/QUOTE
Kumiliki watoto! m2 mbinafsi kwa mtizamo wangu hastahili kuwa na familia, nasema hivi kwa sababu nimeshuhudia mwanaume ambaye alikuwa mbinafsi na familia yake imesambaratika , baada ya mke kuvumilia na kushindwa aliamua kuachana, baba hakuwa anajali watoto wala mke hata baada ya kuachana bado aligoma kutoa matuzo ikiwamo ada kwa watoto wake mwenyewe hata pale alipoamuriwa na mahakama , matokeo watoto hawana mbele wala nyuma.

Kusema uongo ni rafiki wa karibu wa ubinafsi huwa vinakwenda pamoja, kwa mf hapo juu huyo jamaa aliidanganya mahakama juu ya hali yake ya kipato na mali ili tu asihudumie watoto tena kwa kutumia wakili ambaye alikuwa rafikie.

Ukatili ni rafiki pia wa ubinafsi ili m2 aweze kufanya jambo kwa uhuru wake binafsi anatafuta njia ya kujikinga ili asihojiwe juu ya uhalali wa kufanya hilo jambo, we unashindwa kuuliza jambo kwa sababu aidha utatukanwa au kupigwa, watoto wanahitaji upendo, kuenziwa na kujaliwa, mbinafsi hana muda huo.
 
huyu anafaa kuwa mwanaume mkomavu mwenye kumiliki watoto wa jinsia zote ?????/[/QUOTE
Kumiliki watoto! m2 mbinafsi kwa mtizamo wangu hastahili kuwa na familia, nasema hivi kwa sababu nimeshuhudia mwanaume ambaye alikuwa mbinafsi na familia yake imesambaratika , baada ya mke kuvumilia na kushindwa aliamua kuachana, baba hakuwa anajali watoto wala mke hata baada ya kuachana bado aligoma kutoa matuzo ikiwamo ada kwa watoto wake mwenyewe hata pale alipoamuriwa na mahakama , matokeo watoto hawana mbele wala nyuma.

Kusema uongo ni rafiki wa karibu wa ubinafsi huwa vinakwenda pamoja, kwa mf hapo juu huyo jamaa aliidanganya mahakama juu ya hali yake ya kipato na mali ili tu asihudumie watoto tena kwa kutumia wakili ambaye alikuwa rafikie.

Ukatili ni rafiki pia wa ubinafsi ili m2 aweze kufanya jambo kwa uhuru wake binafsi anatafuta njia ya kujikinga ili asihojiwe juu ya uhalali wa kufanya hilo jambo, we unashindwa kuuliza jambo kwa sababu aidha utatukanwa au kupigwa, watoto wanahitaji upendo, kuenziwa na kujaliwa, mbinafsi hana muda huo.

selfish ni adui wa umoja mahali popote tena ni sumu ya mahali popote nilisikia mtu akilala huyu ni mbinafsi sana
 
mh,hayo mazito. ingawa ndoa ni mpaka kifo ila kwa tabia hzo wallah sitovumilia. atajijua ye na Mungu wake lol. . .


hahaha furahi kukuona hapa inabidi miujiza ije ya ndoa kwani ndo uwanja wa shetani kukata rumba nowdayz ati
 
Jifunze kusoma halafu soma tena.La kaangalie kama una dyslexia.

jamani unakasirika nini nani hajui huku kama umeshaoa mara 4 pitapita humu ndani utapata majibu ka sikuwezi unataka kumwibia nani hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom