Kila siku ugomvi

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Baada ya siku kadhaa kuingia ktk ndoa, mke aliamua kwenda kwa mama yake kumpa malalamiko juu ya mumewe. Akamwambia,
Mtoto: mama tokea aniowe n-vita-tuu n-vita-tuu.
Mama: angalau wewe mwanangu, kwasababu baba ako hata hicho kimoja ni kwa tabu.
Mtoto: siyo hivyo mama, yani kila siku ugomvi
 
Ha haaaa, good creativity.
 
Ha! ha..Wadau huyo binti haoni mama yake kavumilia kupata hicho kimoja japo ni kwa taabu sana, binti ongeza vionjo ( ubunifu) hilo litakuwa suluhisho la kipigo.
 
Hahaha duh! Kwel kiswahili ni lugha tata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…