Kila siku Manzoki, Manzoki, akishasajiliwa hatuoni uwezo wenyewe dimbani

Mwishokambi

JF-Expert Member
Nov 23, 2020
305
1,166
Yaani huyo Manzoki anavyowatia watu wazimu utasema jamaa hakabiki, jamaa anajua sana, jamaa kila gemu akicheza hakosi mabao matatu, kumbe ni wa kawaida tu, najiuliza hivi wangekuwa wachezaji kama wale wabrazil wa Singida ambao hawakusajiliwa kwa mbwembwe lkn wanajua hatari na usajili wao haukuwa wa shida wala nini, ingekuwaje.

Kwanini Simba na yanga mnapotaka kusajili wachezaji mnadanganya kwenye magazeti halafu wakija hatuoni uwezo, hebu mcheki Joyce, mcheki Kambole, mcheki Ki Aziz, mcheki Bigirimana, mcheki Dejan, mcheki Akpan, mcheki Phiri, mfano Phiri aliteka akili za mashabiki kumbe wa kawaida mno, angalia wale wa azam, hamna kitu, hebu tuacheni ujinga, manzoki, manzoki wakat hata timu ya taifa hayumo huko kwao.
 
Yaani huyo Manzoki anavyowatia watu wazimu utasema jamaa hakabiki, jamaa anajua sana, jamaa kila gemu akicheza hakosi mabao matatu, kumbe ni wa kawaida tu, najiuliza hivi wangekuwa wachezaji kama wale wabrazil wa Singida ambao hawakusajiliwa kwa mbwembwe lkn wanajua hatari na usajili wao haukuwa wa shida wala nini, ingekuwaje, kwanini Simba na yanga mnapotaka kusajili wachezaji mnadanganya kwenye magazeti halafu wakija hatuoni uwezo, hebu mcheki Joyce, mcheki Kambole, mcheki Ki Aziz, mcheki Bigirimana, mcheki Dejan, mcheki Akpan, mcheki Phiri, mfano Phiri aliteka akili za mashabiki kumbe wa kawaida mno, angalia wale wa azam, hamna kitu, hebu tuacheni ujinga, manzoki, manzoki wakat hata timu ya taifa hayumo huko kwao.
Kwani Mayele yupo Timu ya taifa?
 
Wewe ndo uwe wakwanza kuacha ujinga! So hao wabrazil unaowasifia ndo wanakupiga bao tatu tatu kila mechi? Makande kabisa! Wacha tufanye tunacho jisikia na c unavyotaka wewe! Shabikia tu hao wabrazil wako tuone kama watamaliza hata top 4
 
Moses phili ndio mfungaji Bora wa. muda wote wa Zanaco Zambia.


Mshambuliaji huyo wa zamani wa Buildcon msimu uliopita akiwa na Zanaco amefunga mabao 14 kwenye Ligi Kuu ya Zambia akishika nafasi ya pili nyuma ya mfungaji Bora wa msimu, Ricky Banda aliyemaliza na mabao 16.

Phiri alikuwa Mfungaji Bora wa Ligi ya Zambia msimu wa 2020/21 alipomaliza na mabao 17 na kuiwezesha Zanaco kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika.

PHILI NAE WA KAWAIDA KWELI!!!?????
 
Manzoki ni complete striker kama unavyomuona mk14 ni katili haswa mbele ya lango.
 
Ukiangalia post ya jamaa hana timu miongoni mwa Yanga, Simba, Azam lkn wsty wamejificha kwenye kichaka cha mayele.
. Hii henda amepiga kunako na imeuma.
 
Mjadala wa huyu Kaisari umeshafungwa. Ni mchezaji halali wa Vipers. Tusisumbuane tena juu yake.
 
Moses phili ndio mfungaji Bora wa. muda wote wa Zanaco Zambia.


Mshambuliaji huyo wa zamani wa Buildcon msimu uliopita akiwa na Zanaco amefunga mabao 14 kwenye Ligi Kuu ya Zambia akishika nafasi ya pili nyuma ya mfungaji Bora wa msimu, Ricky Banda aliyemaliza na mabao 16.

Phiri alikuwa Mfungaji Bora wa Ligi ya Zambia msimu wa 2020/21 alipomaliza na mabao 17 na kuiwezesha Zanaco kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika.

PHILI NAE WA KAWAIDA KWELI!!!?????
Nimebaki nacheka Tu mkuu....

Kijana anakwambia phiri ni wa kawaida Sana...🤣🙌
 
Huu mwaka wa mateso Tena makubwa endeleeni kudanganyana, mliimba phiri,phiri kaja hakuba kitu, mkasema okpan,okra,okwa, hamna kitu Sasa ivi mnasema manzoki , mtaona kitachotokea.
Timu siyo majina na usajili na bahati nasibuu ,timu. Ni wachezaji kocha Bora,wachezaji Bora wanahitajika na kocha na nahitaji ,mifumo Bora ya uchezaji inayoendana na timu,wachezaji wanaojuana na waliozoeana etc
 
Huyu Mzee Manzoki atacheza namba ngapi kwenye timu yetu ya Simba?

Awa wazee tunawasajIli wa nini?
 
Yaani huyo Manzoki anavyowatia watu wazimu utasema jamaa hakabiki, jamaa anajua sana, jamaa kila gemu akicheza hakosi mabao matatu, kumbe ni wa kawaida tu, najiuliza hivi wangekuwa wachezaji kama wale wabrazil wa Singida ambao hawakusajiliwa kwa mbwembwe lkn wanajua hatari na usajili wao haukuwa wa shida wala nini, ingekuwaje.

Kwanini Simba na yanga mnapotaka kusajili wachezaji mnadanganya kwenye magazeti halafu wakija hatuoni uwezo, hebu mcheki Joyce, mcheki Kambole, mcheki Ki Aziz, mcheki Bigirimana, mcheki Dejan, mcheki Akpan, mcheki Phiri, mfano Phiri aliteka akili za mashabiki kumbe wa kawaida mno, angalia wale wa azam, hamna kitu, hebu tuacheni ujinga, manzoki, manzoki wakat hata timu ya taifa hayumo huko kwao.
twambie Aziza kafunga ngapi mechi hizi mbili?
 
Moses phili ndio mfungaji Bora wa. muda wote wa Zanaco Zambia.


Mshambuliaji huyo wa zamani wa Buildcon msimu uliopita akiwa na Zanaco amefunga mabao 14 kwenye Ligi Kuu ya Zambia akishika nafasi ya pili nyuma ya mfungaji Bora wa msimu, Ricky Banda aliyemaliza na mabao 16.

Phiri alikuwa Mfungaji Bora wa Ligi ya Zambia msimu wa 2020/21 alipomaliza na mabao 17 na kuiwezesha Zanaco kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika.

PHILI NAE WA KAWAIDA KWELI!!!?????
Binafsi Phiri bado hajanishawishi labda tuangalie huko mbele
 
Back
Top Bottom