Kila ninayemtongoza ana mtu

Kila ninayemtongoza ana mtu

Shekuna

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
688
Reaction score
549
Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.

Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.

Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
 
Hii ni mbinu ambayo mademu vicheche wanaitumia siku hizi ukimtongoza anakwambia kua ana MTU then ukiendelea kumtongoza atakubali,ila atakutaka uwe na tahadhar kwa huyo unknown MTU wake,ili kesho hata ukimkuta chocho na mwanaume mwingine usimuulize sana a kiukwel anakua hana MTU maalum ila ni dege LA jeshi popote kambi,ingawa wapo wachache pia waaminifu wanaitumia kukwepa usumbufu zaid kutoka kwa men
 
Hii ni mbinu ambayo mademu vicheche wanaitumia siku hizi ukimtongoza anakwambia kua ana MTU then ukiendelea kumtongoza atakubali,ila atakutaka uwe na tahadhar kwa huyo unknown MTU wake,ili kesho hata ukimkuta chocho na mwanaume mwingine usimuulize sana a kiukwel anakua hana MTU maalum ila ni dege LA jeshi popote kambi,ingawa wapo wachache pia waaminifu wanaitumia kukwepa usumbufu zaid kutoka kwa men
kwahiyo nitumie mbinu gani
 
Km kila mtu ana mtu inakuwaje wewe siyo mtu wa mtu? Sema unatafuta mchep mkuu na km siyo hvyo basi hujui kutongoza.
mtu ninaye sema yuko mbali.Kwahyo kuna njia maalumu ya kuwatongoza Hawa viumbe au
 
Back
Top Bottom