Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,646
gobore inakosa hewa yakheee!!
c ungeenda kupima kwanza kabla
ya ku do na huyo mpya?one mistake one goal!!
pole sana,hata mie hili tatizo huwa linatokea lakin mara nyingi kwa mwanamke ninayekuwa nina wasi wasi nae so nakuwa akiri yangu haiko pale kwahiyo huwa silembi nikishavaa tu condom haraka haraka nakimbiza kuingiza ikishaingia navuta hisia kitu kinakuwa mukide.so jaribu kurudisha akiri kwenye tukio na punguza uwoga/hofu na wasi wasi unapokuwa faraga
Wakati wa mafunzo jandoni katika yale maeneo machache yanayoendelea kudumishwa mila hiyo, vijana tuliambiwa kuwa ukiona hali imekutokea kama hiyo, ujue partner wako ana matatizo kama vile ugonjwa, kwa hiyo mwili wako umehisi hatari. Sina uhakika kama yalikuwa ni maneno mbofu mbofu au kuna ukweli, ila mimi ikinitokea hivyo, sitaendela naye.