Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,345
- 17,847
Coal and natural gas are depletable source of energy.Wewe utakuwa ni kichaa, gharama zilizotumika kwenye huo mradi ni zaidi ya 10T ambapo kwenye gas na makaa ya mawe tungeweza kutumia si zaidi ya 2T hizi 8T zingejenga lami zaidi ya 8000Km hata kijijini kwa babu yako wangepata barabara ya lami.
Coal is also bad for environment it causes environment pollution.