Padri Mcharo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,899
- 3,687
kama mtanzania na mwana JF mwenye ubinadam nimeona leo niwakumbushe wenzangu kuhusu hili balaa japo najua mnajua.
wanasema ushuhuda ni moja ya mawaidha.. leo natoa ushuhuda:
1. Mwaka 2001 nikiwa darasa la nne, Dada alikufa kwa UKIMWI. aliacha watoto wawili. Nikasema aaaah, dada nae alikua mcharuko sana, kila mtoto na baba yake!!!!
2. Mwaka 2003 nikiwa darasa la sita, Baba yangu mdogo alikufa kwa UKIMWI. Aliacha mjane na mtoto mmoja. Nikasema tena aaaaaah, huyu nae tatizo machimboni Mwadui kule.. mzembe
3. Mungu si Athuman, mwaka 2009 nikiwa nasubiri selection niende 4m5 BABA YANGU mzazi alifariki kwa UKIMWI. Daaaaah, alituacha mie, mdogo wangu wa kike na mama yetu wa kambo (mama mzazi waliachana miaka 19 iliopita).
Mwaka 2013 (miaka 4 after father passed) mama wa kambo akatuaga nae kwa UKIMWI baada ya kuzembea matumizi ya ARV.
So sad kwa kweli. Ugonjwa nilokua nasema kuupata uzembe ukaja kuni prove wrong ndan ya familia yetu.
NDUGU ZANGU.. UKIMWI UPO NA UNAUA... TUWE MAKINI...
wanasema ushuhuda ni moja ya mawaidha.. leo natoa ushuhuda:
1. Mwaka 2001 nikiwa darasa la nne, Dada alikufa kwa UKIMWI. aliacha watoto wawili. Nikasema aaaah, dada nae alikua mcharuko sana, kila mtoto na baba yake!!!!
2. Mwaka 2003 nikiwa darasa la sita, Baba yangu mdogo alikufa kwa UKIMWI. Aliacha mjane na mtoto mmoja. Nikasema tena aaaaaah, huyu nae tatizo machimboni Mwadui kule.. mzembe
3. Mungu si Athuman, mwaka 2009 nikiwa nasubiri selection niende 4m5 BABA YANGU mzazi alifariki kwa UKIMWI. Daaaaah, alituacha mie, mdogo wangu wa kike na mama yetu wa kambo (mama mzazi waliachana miaka 19 iliopita).
Mwaka 2013 (miaka 4 after father passed) mama wa kambo akatuaga nae kwa UKIMWI baada ya kuzembea matumizi ya ARV.
So sad kwa kweli. Ugonjwa nilokua nasema kuupata uzembe ukaja kuni prove wrong ndan ya familia yetu.
NDUGU ZANGU.. UKIMWI UPO NA UNAUA... TUWE MAKINI...