Kila nikienda ofisini nimelewa, lazima kuna mtu atajua licha ya kujitahidi kuficha, kwanini?

Joel Johansen

JF-Expert Member
May 12, 2016
242
319
Guys,

Mwenzenu siwezi kuingia ofisini bila kutupia kilevi kwasababu nina tatizo la kiafya; msongo wa mawazo uliokomaa unaopelekea maumivu makali ya kichwa. Hivyo ili niweze kufanya chochote kwa ufanisi lazima nivuruge ubongo kidogo...huwa nakuwa more motivated na napiga mzigo hadi nasahau lunch time.

Juzi kati nilianzisha mahusiano na staff mmoja ambae tukawa karibu kiasi cha kuwa informer wangu. Sikuamini aliniambia kuwa huwa ninanuka pombe, hivyo kuna uwezekano kuna baadhi ya staff washajua mchezo wangu (wa kuweka kilevi kwenye chupa ya maji).

1. Nifanyeje kukata halufu ya kilevi?
2. Nifanyeje staff na boss wasijue mimi ni mlevi?

PS: Nikitia kilevi huwa nakuwa mchangamfu sana, na hata bosi akinigombeza huwa namchekea tu maana huwa sijielewi...kwa ufupi when I'm drunk everyone is my friend instantly.

Onyo: Sitaki ushauri wa kuacha pombe...nahitaji ushauri kwa swali namba 1 & 2 sawasawa na jinsi ulivyoelewa swala langu. I hope people are descent enough to undertand what I just want to hear.

Regards.
 
Hamna namna, labda unywe wine utanukia matunda!
Otherwise tupia misigara kupotezea,
Ukishindwa anza kula kitunguu swaumu manake kina harufu Kali zaidi kinaweza kata harufu ya kilaji
 
KARAFUU NDO KIBOKO YA YOTE UKITAFUNA TU HATA UPIGE MIAYO VIPI HAKUNA ATAKAYESIKIA MDOMONI UNATOA HARUFU YA POMBE
 
We bugia big G na pipi kifua/ivory au ndizi mbivu baada ya kilaji! Unakuwa nazo za kutosha....otherwise utatwangwa!!
 
Guys,

Mwenzenu siwezi kuingia ofisini bila kutupia kilevi kwasababu nina tatizo la kiafya; msongo wa mawazo uliokomaa unaopelekea maumivu makali ya kichwa. Hivyo ili niweze kufanya chochote kwa ufanisi lazima nivuruge ubongo kidogo...huwa nakuwa more motivated na napiga mzigo hadi nasahau lunch time.

Juzi kati nilianzisha mahusiano na staff mmoja ambae tukawa karibu kiasi cha kuwa informer wangu. Sikuamini aliniambia kuwa huwa ninanuka pombe, hivyo kuna uwezekano kuna baadhi ya staff washajua mchezo wangu (wa kuweka kilevi kwenye chupa ya maji).

1. Nifanyeje kukata halufu ya kilevi?
2. Nifanyeje staff na boss wasijue mimi ni mlevi?

PS: Nikitia kilevi huwa nakuwa mchangamfu sana, na hata bosi akinigombeza huwa namchekea tu maana huwa sijielewi...kwa ufupi when I'm drunk everyone is my friend instantly.

Onyo: Sitaki ushauri wa kuacha pombe...nahitaji ushauri kwa swali namba 1 & 2 sawasawa na jinsi ulivyoelewa swala langu. I hope people are descent enough to undertand what I just want to hear.

Regards.
Hii ya ndizi hata mimi nilisha wahi itumia wakati nakata mitungi,ni ndizi mbili zilizoiva,ni pale baada ya kusema kuwa sinywi tena yaani kama umepiga bia mbili au tatu na sasa unataka kuingia eneo husika ili usijulikane unatafuna fasta inakata kabisa harufu ila ulevi unabaki palepale.Ushauri muombe Mungu bila kukoma kila siku akusaidie uachane na tabia ya ulevi,hatakuangausha,there comes a day you will be free from alcohol na utashangaa ilikuwaje mpaka ukawa mlevi na ndio wakati utashangaa ilikuwaje mpaka uliweza kuingia kwenye vyoo vya baa ambavyo kikawaida vina harufu kali ya mikojo lakini uliweza kuona ni sawasawa tu kwako,utashangaa pia uliwezaje kukaa baa na kuongea na kusikilizana wakati mziki wenye kelele ukipigwa,utashangaa pia mke wako aliwezaje kuvumilia harufu mbaya ya pombe (kama hanywi) na wewe ulikuwa unaona sawa tu nk. nk
 
319ba3a6e7e4b4be763c98b2437844b5.jpg
 
HACHA KAZI
Guys,

Mwenzenu siwezi kuingia ofisini bila kutupia kilevi kwasababu nina tatizo la kiafya; msongo wa mawazo uliokomaa unaopelekea maumivu makali ya kichwa. Hivyo ili niweze kufanya chochote kwa ufanisi lazima nivuruge ubongo kidogo...huwa nakuwa more motivated na napiga mzigo hadi nasahau lunch time.

Juzi kati nilianzisha mahusiano na staff mmoja ambae tukawa karibu kiasi cha kuwa informer wangu. Sikuamini aliniambia kuwa huwa ninanuka pombe, hivyo kuna uwezekano kuna baadhi ya staff washajua mchezo wangu (wa kuweka kilevi kwenye chupa ya maji).

1. Nifanyeje kukata halufu ya kilevi?
2. Nifanyeje staff na boss wasijue mimi ni mlevi?

PS: Nikitia kilevi huwa nakuwa mchangamfu sana, na hata bosi akinigombeza huwa namchekea tu maana huwa sijielewi...kwa ufupi when I'm drunk everyone is my friend instantly.

Onyo: Sitaki ushauri wa kuacha pombe...nahitaji ushauri kwa swali namba 1 & 2 sawasawa na jinsi ulivyoelewa swala langu. I hope people are descent enough to undertand what I just want to hear.

Regards.
HACHA KAZI UJIAJIRI
 
Sikia, hata mimi nikiingia ofisini lazima nipige 'amsha akili' glass nusu ya Grants (home sikosagi chupa kubwa ya Grants), lakini nahakikisha siongei hovyo na muda mwingi nipo na glass ya maji. Maji ni tiba nzuri sana. Halufu ya pombe inatokea mdomoni ikitokea tumboni, ukinywa maji mengi yana dailuti kilevi na harufu. Ila hakikisha huongeiongei sana.
 
Mkuu harufu ya mavyestooo lager hata utumie sabuni ya omo..mdon haitoki.......watu tushakula mandizi kalibu mkungu mzima but ..unakutwa njemba zinagundua kuwa umekunywaa
 
Back
Top Bottom