Kila mtu na fungu lake...

Kila mtu na fungu lake...

Kwani nimekosea wapi hadi uandike maneno makali namna hii..?

Mwanamke kiguu na njia wewe fungu lako nimelikosa!
Umenitapakaza kwenye dimbwi la damu,nipo hoi bin taabani!
Au kwakuwa ulisema unajiskia kuua tena ndio maana ulisign mikataba ya kishetani..?
Toka ulivyonibadirikia dar es salaam usiku ule nilipata hofu kama ningelirudi na roho yangu!,na hakika hata wewe usingerudi nayo ningekuondosha kwa kono la malaika gibril ungerudi na salamu toka kuzimu!
Hahaha mkuu umetisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mafungu mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 Dah! Mi nipo tofauti na wengine futa uliyonayo uone utamu mama!
Nipe nafasi uone ukwasi!

Utakapo nasa nitakunasua na kwa mola nitakuombea Dua..
Jivue magamba nikuvike gwanda
Niwe wako tabibu maradhi nikutibu.
Wahenga wakuepuke mbali nikuchukue bila dalali!
Kwako nitatunza siri,mafungu nitayakabiri!
Soni naona mimi,nikikukosa taabani!

Jina lako tamu nitalitunza kwa nidhamu!
Nikubalie nipe nafasi,niwaghasi waasi!..
 
Dah! Mi nipo tofauti na wengine futa uliyonayo uone utamu mama!
Nipe nafasi uone ukwasi!

Utakapo nasa nitakunasua na kwa mola nitakuombea Dua..
Jivue magamba nikuvike gwanda
Niwe wako tabibu maradhi nikutibu.
Wahenga wakuepuke mbali nikuchukue bila dalali!
Kwako nitatunza siri,mafungu nitayakabiri!
Soni naona mimi,nikikukosa taabani!

Jina lako tamu nitalitunza kwa nidhamu!
Nikubalie nipe nafasi,niwaghasi waasi!..
Eti Relief Mirzska unasemaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me fungu langu Sakayo lakini nae kanikimbia simuoni sijui nakwama wapi walahi...
Au labda sio fungu langu pia...😥
 
Nina mke ana digrii moja tangu chuo tumeanza mahusiano!!nina hisi sio fungu langu kabisa najikaza tu!!moyo wangu unapenda madem vilaza std 7 au form4 leaver!!!hadi nashangaa!!!
 
Kwani nimekosea wapi hadi uandike maneno makali namna hii..?

Mwanamke kiguu na njia wewe fungu lako nimelikosa!
Umenitapakaza kwenye dimbwi la damu,nipo hoi bin taabani!
Au kwakuwa ulisema unajiskia kuua tena ndio maana ulisign mikataba ya kishetani..?
Toka ulivyonibadirikia dar es salaam usiku ule nilipata hofu kama ningelirudi na roho yangu!,na hakika hata wewe usingerudi nayo ningekuondosha kwa kono la malaika gibril ungerudi na salamu toka kuzimu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom