Nashukuru wote mnaonipongeza, kikubwa ni kua umri wangu ni 24, bado sijaanza kujitegemea kimaisha, nikianza kujitegemea ndo kipimo kizito zaidi ambacho naamini nitafaulu na kumpata mwenza/mke mwema kwa msaada wa Mungu
Nashukuru wote mnaonipongeza, kikubwa ni kua umri wangu ni 24, bado sijaanza kujitegemea kimaisha, nikianza kujitegemea ndo kipimo kizito zaidi ambacho naamini nitafaulu na kumpata mwenza/mke mwema kwa msaada wa Mungu
hiyo namba saba, wala usiwe proud.. ulikuwa na uhusiano na mtu ambaye hukuwa na malengo nae.... then ukapanga kumuacha, ukatumia hila za kijanja janja kumuacha...whichever way, ulimuumiza!!!