KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,535
Kimsingi mambo haya yamekaa kiimani zaidi na sio dhahiri....ikiwa utaamini uwepo wa muumba hapa ulimwenguni.....ni lazima utaamini vitu kama hivi......
Kwa kawaida ni kwamba hakuna jambo ambalo limetokea tu kama ajali bali majambo huundwa.....hata haya majengo ya kale tunayoyaona leo ingawa mafundi wake hatuwajui lakini tunaamini kuwa yalijengwa na hayakushushwa.......na hata ukitumia akili yako kidogo ukifikiria namna mfumo tata wa mwili wa mwanadamu unavyofanya kazi katika mpangilio maalumu na katika matukio maalumu tena wakati mwingine hata katika matendo yasiyo hiyari....utagundua kuwa yupo aliyefanyiza haya yote katika umakini wa hali ya juu na sio kuwa yalitokea kama ajali....na huyo sio mwingine bali ni Mungu pekeee........ni mambo ambayo kuwa kiasi kikubwa huwa yanapatana na akili ikiwa utaielekeza akili yako kwenye kuitafuta kweli iliyonyoooka na sio kwenye upotevu uliopotoka........hata ukiutazama mpangilio wa nyota angani na mfumo wa Jua utauona utukufu wa Mungu.....
Kwa kawaida ni kwamba hakuna jambo ambalo limetokea tu kama ajali bali majambo huundwa.....hata haya majengo ya kale tunayoyaona leo ingawa mafundi wake hatuwajui lakini tunaamini kuwa yalijengwa na hayakushushwa.......na hata ukitumia akili yako kidogo ukifikiria namna mfumo tata wa mwili wa mwanadamu unavyofanya kazi katika mpangilio maalumu na katika matukio maalumu tena wakati mwingine hata katika matendo yasiyo hiyari....utagundua kuwa yupo aliyefanyiza haya yote katika umakini wa hali ya juu na sio kuwa yalitokea kama ajali....na huyo sio mwingine bali ni Mungu pekeee........ni mambo ambayo kuwa kiasi kikubwa huwa yanapatana na akili ikiwa utaielekeza akili yako kwenye kuitafuta kweli iliyonyoooka na sio kwenye upotevu uliopotoka........hata ukiutazama mpangilio wa nyota angani na mfumo wa Jua utauona utukufu wa Mungu.....