kweli mkuu kwani kila mmoja akinunua vocha ya booku mbili tu na akaitumia kuwaelimisha ndugu na jamaa zake nyumbani basi tutakuwa tumepiga kahatua, si unaona hata kwenye tv wanavyombania dr slaa, wengine wote wanaonyeshwa wakiwa wanatangaza sera zao inapofika zamu ya chadema na slaa basi huonyeshwa akiwa kwenye jukwaa huku mtangazaji akielezea eg mgombea wa chadema amelalamikia kitendo cha mr tendoowa and braaabraaabraaa then out and black,,,,,,fs$t*n