Hahaha animal rights hizo, huku kwetu binadamu hana right tunagongwa kila siku and its hit and run. Kuna ule usemi unaosema ni bora uwe mbwa nchi za watu kuliko kuwa binadamu huku kwetu. Now, Im starting to believe it.
Hahaha animal rights hizo, huku kwetu binadamu hana right tunagongwa kila siku and its hit and run. Kuna ule usemi unaosema ni bora uwe mbwa nchi za watu kuliko kuwa binadamu huku kwetu. Now, I starting to believe it.
MadameX, wala hakuna atakayekumeza ma dia, but nkuombe tu uwe makini usije ukakufuru.Mungu anasema yy ni wakuheshimiwa sana barazani pa wenye mizaha. ma dia usikufuru. mshukuru sana Mungu, kwa wewe kuwa hivyo ulivyo kisha mwombe akupe neema na baraka zake ili uish kwa ustawi na amani kwa ajili ya utukufu wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.