Kila kitu sasa kiko ukutani

Umewahi kuandamana na mgombea uraisi yeyote ukaona hali halisi ilivyo? Ni tofauti sana na chaguzi zilizopita!!
 
Mimi na nyumba yangu tutatumikia Ukawa to the last drop of our life.
 
Lowasa ndiye rais watake wasitake hawa mapimbii wa lumumba
 

Nilijipumzisha (kulala) chini ya mwembe kwa muda na ndiyo kwanza nimeamka. Mjukuu naye kanifanyia mzaha miwani kaificha hivyo najitahidi kusoma naona maluweluwe. Ebu nipigie uniambie umekusudia kuleta ujumbe gani?? Au unajaribu kupigana na kivuli chako???
 
ungelinawa uso kwanza halafu nitakupasha kuhusu hali tete ya ukawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…