kila kitu kipya kwenye ndoa

Mshume Kiyate

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2011
Posts
6,764
Reaction score
908
Jamaa mmoja kaoa mwanamke wake kutoka kijijini, siku hiyo kafungua nyumba yake mpya, kazindua gari lake jipya na wakati wa kufanya tendo la ndoa akavaa condom, basi yule mke wake akawatumia message kwao na kuwaambia mumewe ana kila kitu kipya mpaka nanii.......yake bado uko ndani ya makaratasi yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…