muhimu ni wote kuwa waaminifu, hawa wachuuzi nao si wema kivile, kama hayajakukuta unaweza kuwaonea sana huruma, lakini loh! - baadhi wanakimbia na chenji za abiria au kuuza bidhaa zilizooza kama alivyosema mdau hapo juu. Kwa hiyo wakati mwingine abiria anapoondoka na bidhaa bila kulipa ni kama ku-balance vile.