yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,527
- 1,913
Salute, kwa sasa ktk mitandao ya kijamii,kila anayejaribu kulalamikia utawala uliopo kwa ufisadi ,anaitwa sukuma gang!
Anayelalamika ugumu wa maisha na kupanda bei kwa vitu ni Sukuma gang,!
Anayelalamika serikali kutowajibija anaitw sukuma gang!
Wanaitwa sukuma gang kwa kuamini kuwa ni wafuasi wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati John pombe magufuli, kwa sababu jpm kupinga ufisadi, uzembe kazini,rushwa,na kutokuwajibika,ndio ilikuwa kazi yake.
Je, hawa wanawaita wenzao sukuma gang,je wao ni nani? Wanawakilisha kundi gani?
Karibuni, mapovu na matusi kwa wasio na hekima RUKSA.
Anayelalamika ugumu wa maisha na kupanda bei kwa vitu ni Sukuma gang,!
Anayelalamika serikali kutowajibija anaitw sukuma gang!
Wanaitwa sukuma gang kwa kuamini kuwa ni wafuasi wa aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati John pombe magufuli, kwa sababu jpm kupinga ufisadi, uzembe kazini,rushwa,na kutokuwajibika,ndio ilikuwa kazi yake.
Je, hawa wanawaita wenzao sukuma gang,je wao ni nani? Wanawakilisha kundi gani?
Karibuni, mapovu na matusi kwa wasio na hekima RUKSA.