Kila akitongozwa lazima aniambie

Kila akitongozwa lazima aniambie

....amekuorodheshea aliowavulia chupi kabla ya kuwa na wewe....? hana adabu huyo
 
anakupa presha huyo, na siku akikubali mwambie akwambie, inaonekana huyo km zake zimesoma sana sasa anataka uingie haraka haraka.
 
Hao ni wachache waliokataliwa walimtia hakuambii ni mjinga coz anajifanyia promo
 
Jamani nina mchumba wangu lakini kila akitongozwa lazima aniambie na hata akitumiwa sms lazima anitumie hivi ananipenda kweli au ndio sera ya wanawake wa siku hizi

1. Hiyo tabia ikemee kwa nguvu zote.
2. Je wanaomtumia sms wamepata wapi no yake ya simu?
3. Kwa nini ajiweke katika hali ya kutongozwa?

Mambo haya ya msingi inatakiwa kuchukua.

1. Huenda umri wake bado mdogo au upeo wake ni finyu kwahiyo anahitaji elimu.
2. Huenda anakutishia kuwa kuna watu wengi wanamhitaji so your not only one.

Kuwa makini sana na tabia hii kama uko serious na uhusiano wako.
 
akikaa kimya shida...

akikwambia shida.......

sijui jema ni lipi!!!!!!!!!!!!
 
na akigegedwa huja kukuambia? muulize amegegedwa na wangapi kwani miongoni mwa hao ambao wamemtongoza wapo ambao washakula mambo.
 
Nadhani ushapata mawazo mengi me kama narudia mule mule, anakwambia ambao hawapendi na anaowapenda hakwambii
CHUNGA SANA!!!
 
Huyo hana lolote na mm dem wangu alikuwa na tabia hzo hzo kumbe anafanya nao kwel hao hao.
 
Kwa hao,uaminifu zero.ipo ck utaona movie ukajinyonga.majanga hayo
 
Nakubaliana na wewe.
Akiavha kuwa anahadithia ujue kimeumana.

She is just an iinocent gal na hawezi kukuficha kitu. Wewe ndo ragiki yake na hata akipanga asiseme anajikuta anasema yu.

King'asti you know better!! She's just an innocent gal and the boyfriend is her close and best friend!! Full stop.
 
Hamna kitu huyo dem,pga chini,washakula hao xema anajkosha tu,na hyo n tabia ya vicheche
 
Jamani nina mchumba
wangu lakini kila akitongozwa lazima aniambie na hata akitumiwa sms
lazima anitumie hivi ananipenda kweli au ndio sera ya wanawake wa siku
hizi

sasa asipokwambia utajuaje kuwa anapendwa?

ni njia mojawapo ya kukufanya upate wivu nae...
 
Jamani nina mchumba
wangu lakini kila akitongozwa lazima aniambie na hata akitumiwa sms
lazima anitumie hivi ananipenda kweli au ndio sera ya wanawake wa siku
hizi
is she still virgin ? if not tell us know wether you know her viginality otherwise let us stay calm .
 
anakupa presha huyo, na siku akikubali mwambie akwambie, inaonekana huyo km zake zimesoma sana sasa anataka uingie haraka haraka.

2rue anataka kukupa presha tu, anafanya ivo ili akuonyeshe kwamba kuna wengi wanafagilia mzigo, ili umuhusudu zaidi. Cha msingi wewe ni kuwa makini usije ukaingia mzimamzima ukaja kulia...
 
Jamani nina mchumba wangu lakini kila akitongozwa lazima aniambie na hata akitumiwa sms lazima anitumie hivi ananipenda kweli au ndio sera ya wanawake wa siku hizi

yupo form ngapi vile,mwaka wa ngapi chuo au wakitaa,any way akikua ataacha,je wewe ndiye uliyemtoa bikra kama sivyo alishakuambia nani aliyemtoa bikra,je hajawahi fanya abortion? kama sivyo alishawahi kukwambia kama amefanya hivyo na kwa nini?....................chukua hatua hauna mwanamke hapo...........anayejiamini nadhani unamjua au bado unahitaji tuition kama kizazi cha Mulugo
 
ni muha huyo ndiyo zao , mchenjie tu utaona atakavyokuacha anatafuta spidi ya kutokea huyo anasoma akili yako
 
Back
Top Bottom