TanzActive
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 367
- 73
kumekuwapo na dhana kwamba RA ndo anyeongoza Nchi kwa ushawishi wake mkubwa kwa kikwete , ndani ya CCM's CC NEC na CCM - NEC yenyewe .Je kuna chochote walichopata/walichoshinda kuhusiaana na baraza hili lilotangazwa na kikwete hivi majuzi ambacho kinawasaidia katika mpango wa kumuweka mtu wao wa 2015 ? na watu wao katika hili baraza ni akina nani ?
Naombeni taarifa , i'm so scared with the power of controll RA has over JK ,CCM and so this country in general
Naombeni taarifa , i'm so scared with the power of controll RA has over JK ,CCM and so this country in general