mkuu raisi wetu anakipaji cha usikivu na saizi,kafunga anasubirishia futari tena leo ana ugeni ikulu ameuandalia futari,kwa hiyo sio vizuri yeye kuongeaongea wakati swaumu imekaza na jua kali lote hili subiri mfungo uishe atapanda pipa kwenda opec kushughulikia tatizo la mafuta,serikali yake ni sikivu na chakavu usihofu tumvumilie tu...........................rais wetu yupo nchini au? mbona sisikii chochote kutoka kwake wananchi tunateseka na mafuta.
Mimi hata sijui niseme nini kuhusu huyu jamaa ambavyo hayuko serious na mambo ya msingi.... yaani utadhani haoni adha ya mafuta wanayopata wananchi wake walompa kura.... <br />
<br />
Na hafikirii kuwa hii adha inaweza kutikisa uchumi wa nchi kwa kipindi kifupi.... nachelea kusema kuwa yawezekana na yeye ni mmojawapo wa waagizaji wa mafuta hayo ndo maana anakuwa bubu kuhusu hili...[naunga mkono unachosema jamaa hana aibu wala huruma huyu
<br>MKUU RAISI WETU ANAKIPAJI CHA USIKIVU NA SAIZI,KAFUNGA ANASUBIRISHIA FUTARI TENA LEO ANA UGENI IKULU AMEUANDALIA FUTARI,KWA HIYO SIO VIZURI YEYE KUONGEAONGEA WAKATI SWAUMU IMEKAZA NA JUA KALI LOTE HILI SUBIRI MFUNGO UISHE ATAPANDA PIPA KWENDA OPEC KUSHUGHULIKIA TATIZO LA MAFUTA,SERIKALI YAKE NI SIKIVU NA CHAKAVU USIHOFU TUMVUMILIE TU...........................<strong>Rais wetu yupo nchini au</strong>? <span style="color: rgb(255, 0, 0);">Mbona sisikii chochote kutoka kwake wananchi tunateseka na mafuta.</span>
Rais wetu yupo nchini au? Mbona sisikii chochote kutoka kwake wananchi tunateseka na mafuta.
Vasco dagama ii na ziara zake bwana lool
Yaani huyu JK kuwepo na kutokuwepo ni sawa tuu.............. Kagame alisema apewe bandari na airpot ili ili ailishe TZ na nchi yake...... Jamaa akachekelea tuuu.....Yaani we acha tuuuuuuuuuuu ..............Hatuna Rais ila tu LAIS
<br>MKUU RAISI WETU ANAKIPAJI CHA USIKIVU NA SAIZI,KAFUNGA ANASUBIRISHIA FUTARI TENA LEO ANA UGENI IKULU AMEUANDALIA FUTARI,KWA HIYO SIO VIZURI YEYE KUONGEAONGEA WAKATI SWAUMU IMEKAZA NA JUA KALI LOTE HILI SUBIRI MFUNGO UISHE ATAPANDA PIPA KWENDA OPEC KUSHUGHULIKIA TATIZO LA MAFUTA,SERIKALI YAKE NI SIKIVU NA CHAKAVU USIHOFU TUMVUMILIE TU...........................
<br />Nilikuwa naongea naye (JK) mida hii anasema asisumbuliwe mpaka baada ya IDD manake swaumu tu inamtesa
<br /><font size="4"><font color="#ff0000"><b>UNAPOSEMA "VASCO DA GAMA II" UNAMPA UJIKO .. HUYU NI CHIFU MANGUNGO a.k.a Da Gama Pori</b></font></font>
nakumbuka usemi wa zamani 'mbaazi akikosa maua hulisingizia jua' ni methali ya kizamani kweli lakini siku hizi ndio najua umaana wake!<br />
<br />
jamani acheni jazba huyu jamaa ananianjena tu kwa watanzania ni watendaji wake ndo wanamwangusha. Hahahaaaaa
<br />Hee!!!! hivi hii huwa ni kweli au unatania mkuu!! Niliwahi kuisikia pia kwa bar lakini sina uhakika. Kama ni kweli basi huyu jamaa JK ni kiziwi, nakumbuka hata spika Sitta aliwahi kumwambia aongeze ukali alipokuwa anahutubia bunge kuhusu richmond. <br />
Duh JK ni bora ujiudhuru kwa sababu tukipiga kura leo utapata asilimia 2.