naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Heri ya mwaka mpya mh mkuu wa kaya,napenda kukurudisha kwenye kwa kuwa umekuwa ukihama kwenye mstar mpaka wakati mwingine tunajiuliza kama kweli we ndo rais wa nchi hii,acha umwinyi wa kutoa maagizo bila kufuatilia.
Acha uvivu jitume kama rafiki yako Lowassa alivyokuwa anajituma bila kuchoka,watumikie wananchi,rudisha imani kwa watz kwani kwa sasa kura zikipigwa ni wazi unaelewa matokeo yatakuaje,usiwe kiongozi wa kuteua watu kwa kulipa fadhila,ni jambo la ajabu nilipita kwa mmoja wa mawazir wako nikashangaa anacheza karata ofisin,udhaifu huo unaanzia juu,ingekua mfuatiliaji mzur huyu wazir angekuwa busy na kazi..
Nawasilisha
Acha uvivu jitume kama rafiki yako Lowassa alivyokuwa anajituma bila kuchoka,watumikie wananchi,rudisha imani kwa watz kwani kwa sasa kura zikipigwa ni wazi unaelewa matokeo yatakuaje,usiwe kiongozi wa kuteua watu kwa kulipa fadhila,ni jambo la ajabu nilipita kwa mmoja wa mawazir wako nikashangaa anacheza karata ofisin,udhaifu huo unaanzia juu,ingekua mfuatiliaji mzur huyu wazir angekuwa busy na kazi..
Nawasilisha