KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 538
Bei ya unga inapaa hama ndege aina ya concord. Kilo 25 ya unga wa sembe mara ya mwisho (tar. 02/04/2012) nilinulia kwa sh. 18,000 tu. Nimekwenda jana nimekuta mfuko wa sembe kilo 25 unauzwa sh. 26,000. Yaani ndani ya mwezi mmoja bei imeongezeka kwa takribani sh. 8000. Ikiwa namaana kwamba kwa kila kilo moja imeongezeka sh. 320. Hiyo ndio ari, kasi, na nguvu zaidi ulioahidi kwa Watanzania?