Rais wetu ni mchina kama TECNO.
JK hakuwepo hiyo habari angeitangazia Nigeria.Sababu this week nimemwona na Safety boot Nigeria sambamba na Dangote anapewa michongo yakufanya 2015 ikifika,Siku chache nikamwona Kongo na dogo Samatta wanapiga stori.Sasa hiyo hatari angetangaza lini?
SIASA ni nini???Hii Demokrasia iliyozidi mipaka mpaka tunafikia kudharau viongozi unaipata wapi wewe, huyo ni Raisi tena wa watanzania kama unamdharau nenda kakae nchi uitayo ambayo utatukana viongozi na kuzungumza pumba zako huko hapa hapakufai tena hufai kabisa.
Huoni serikali imechukua tahadhari wewe uko wapi katika nchi hii au unadhani kila jambo ni siasa, peleka ujinga wako mbali kabisa.
SIASA ni nini?watu wengine sijui wakoja wanakurupuka tu, sio kosa lake kila kitu yeye ni siasa tu! Kuna mwingine alisema Serikali inakuza issue kuliko uhalisia ili kudivate akili za watu!
Sasa kama ni tasisi makatibu wake wakaropoke kwa niaba ya rais tuone kama hizo V8 watakaa wazipande tena.Daima Rais ni 1 na ni yeye ndio mwenye mamlaka tuu.Kwanza ushaisoma katiba ukasoma mamlaka ya rais na sio mamlaka ya ofisi ya Rais.?Hivi aliyekuwa Arusha siku ya Manesi ni Nani? By the way akisafiri na ofisi inasafiri? Au U-Raisi ni Kikwete na sio Taasisi?