Kikwete ni rais wa wachina ama?

Kikwete ni rais wa wachina ama?

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,697
Reaction score
9,051
Baada ya Wachina 9 Dar kuugua ugonjwa hatari kuliko Ebola DENGUE, Sasa Kikwete amezitaka wizara za Afya na ustawi wa jamii kutangaza mipango ya dharura kupambana na ugonjwa huo.

Inashangaza jana tukitangaza habari hizi zaidi ya watanzania 400 waliripotiwa kuugua Dengue na Rais alikuwa kimya hajatoa tamko.

Leo Raia wa China 9 wameugua Dengue na Rais Kikwete amekurupuka kutangaza hali ya hatari.

Tunauliza Kikwete ni rais wa Wachina tisa na siyo rais wa Watanzania zaidi ya 400 wanaougua DENGUE na watatu tayari wamepoteza maisha?
 

Attachments

  • jkjk.jpg
    jkjk.jpg
    22 KB · Views: 462
What's the point here. Siku ya kwanza angetangaza hali ya hatari hapa au?
 
Baada ya Wachina 9 Dar kuugua ugonjwa hatari kuliko Ebola DENGUE, Sasa Kikwete amezitaka wizara za Afya na ustawi wa jamii kutangaza mipango ya dharura kupambana na ugonjwa huo.
Inashangaza jana tukitangaza habari hizi zaidi ya watanzania 400 waliripotiwa kuugua Dengue na Rais alikuwa kimya hajatoa tamko.
Leo Raia wa China 9 wameugua Dengue na Rais Kikwete amekurupuka kutangaza hali ya hatari.
Tunauliza Kikwete ni rais wa Wachina tisa na siyo rais wa Watanzania zaidi ya 400 wanaougua DENGUE na watatu tayari wamepoteza maisha?

Hii Demokrasia iliyozidi mipaka mpaka tunafikia kudharau viongozi unaipata wapi wewe, huyo ni Raisi tena wa watanzania kama unamdharau nenda kakae nchi uitayo ambayo utatukana viongozi na kuzungumza pumba zako huko hapa hapakufai tena hufai kabisa.

Huoni serikali imechukua tahadhari wewe uko wapi katika nchi hii au unadhani kila jambo ni siasa, peleka ujinga wako mbali kabisa.
 
Hii Demokrasia iliyozidi mipaka mpaka tunafikia kudharau viongozi unaipata wapi wewe, huyo ni Raisi tena wa watanzania kama unamdharau nenda kakae nchi uitayo ambayo utatukana viongozi na kuzungumza pumba zako huko hapa hapakufai tena hufai kabisa.

Huoni serikali imechukua tahadhari wewe uko wapi katika nchi hii au unadhani kila jambo ni siasa, peleka ujinga wako mbali kabisa.

wala hakuna tahadhari huo ndo ukweli iweje baada ya wachina kuumwa raisi ndo aongee kwanini hakuongea kabla ha hapo?
 
wala hakuna tahadhari huo ndo ukweli iweje baada ya wachina kuumwa raisi ndo aongee kwanini hakuongea kabla ha hapo?

Umeuliza swali mahali pake hongera.Inaelekea watanzania hatuna tofauti na MANYANI ila WACHINA ndiyo binadamu kazi tunayo na viongozi tunao.
 
Hii Demokrasia iliyozidi mipaka mpaka tunafikia kudharau viongozi unaipata wapi wewe, huyo ni Raisi tena wa watanzania kama unamdharau nenda kakae nchi uitayo ambayo utatukana viongozi na kuzungumza pumba zako huko hapa hapakufai tena hufai kabisa.

Huoni serikali imechukua tahadhari wewe uko wapi katika nchi hii au unadhani kila jambo ni siasa, peleka ujinga wako mbali kabisa.
hapo matusi yako wapi?hayo ni mawazo ya kichalinzelinze
 
Baada ya Wachina 9 Dar kuugua ugonjwa hatari kuliko Ebola DENGUE, Sasa Kikwete amezitaka wizara za Afya na ustawi wa jamii kutangaza mipango ya dharura kupambana na ugonjwa huo.

Inashangaza jana tukitangaza habari hizi zaidi ya watanzania 400 waliripotiwa kuugua Dengue na Rais alikuwa kimya hajatoa tamko.

Leo Raia wa China 9 wameugua Dengue na Rais Kikwete amekurupuka kutangaza hali ya hatari.

Tunauliza Kikwete ni rais wa Wachina tisa na siyo rais wa Watanzania zaidi ya 400 wanaougua DENGUE na watatu tayari wamepoteza maisha?
Katika kitabu cha Hekima ya Sulemani 16:9 twasoma:Maana ....(watz), kuumwa na nzige na mainzi (mbu) kuliwaua, isionekane njia ya kuponya maisha yao, maana wamestahili kuadhibiwa na vidudu hivyo.
Watz tunatumikia adhabu ndo maana vidudu tu vinatusumbua, yaani mdudu mdogo kama mbu ametushinda, malaria inatamba na sasa denge, kama sio adhabu ya Mungu ni nini? Mungu anatuadhibu kwa kushindwa kulinda rasmali zetu na kuzitumia kujiletea maendeleo. Tena bora hiyo adhabu imeanzia huko kwa wanaojifanya wako busy--darsalama.
 
JK hakuwepo hiyo habari angeitangazia Nigeria.Sababu this week nimemwona na Safety boot Nigeria sambamba na Dangote anapewa michongo yakufanya 2015 ikifika,Siku chache nikamwona Kongo na dogo Samatta wanapiga stori.Sasa hiyo hatari angetangaza lini?
 
What's the point here. Siku ya kwanza angetangaza hali ya hatari hapa au?

watu wengine sijui wakoja wanakurupuka tu, sio kosa lake kila kitu yeye ni siasa tu! Kuna mwingine alisema Serikali inakuza issue kuliko uhalisia ili kudivate akili za watu!
 
Hii Demokrasia iliyozidi mipaka mpaka tunafikia kudharau viongozi unaipata wapi wewe, huyo ni Raisi tena wa watanzania kama unamdharau nenda kakae nchi uitayo ambayo utatukana viongozi na kuzungumza pumba zako huko hapa hapakufai tena hufai kabisa.

Huoni serikali imechukua tahadhari wewe uko wapi katika nchi hii au unadhani kila jambo ni siasa, peleka ujinga wako mbali kabisa.

huyu jamaa sijui ni elimu ndogo au vipi! Yani anawaza siasa tu mda wote! Ujinga sana huu.
 
Umeuliza swali mahali pake hongera.Inaelekea watanzania hatuna tofauti na MANYANI ila WACHINA ndiyo binadamu kazi tunayo na viongozi tunao.

Umeona mkuu huu ugonjwa kabla ya wachina kuumwa nesi na dk bingwa wa magonjwa ya akili muhimbili wamefariki raisi hakusema kitu ila baada ya kuripotiwa wachina 9 kuumwa ndo kasema inamaana hawa wengine sio watu?
 
Baada ya Wachina 9 Dar kuugua ugonjwa hatari kuliko Ebola DENGUE, Sasa Kikwete amezitaka wizara za Afya na ustawi wa jamii kutangaza mipango ya dharura kupambana na ugonjwa huo.

Inashangaza jana tukitangaza habari hizi zaidi ya watanzania 400 waliripotiwa kuugua Dengue na Rais alikuwa kimya hajatoa tamko.

Leo Raia wa China 9 wameugua Dengue na Rais Kikwete amekurupuka kutangaza hali ya hatari.

Tunauliza Kikwete ni rais wa Wachina tisa na siyo rais wa Watanzania zaidi ya 400 wanaougua DENGUE na watatu tayari wamepoteza maisha?

Rais siyo mwenyekiti wa kitongoji. Ili atoe tamko razima uchunguzi wa jambo analolitolea tamko liwe limehakikiwa na wataalam husika. Hivyo kuna sababu za msingi kutoa tamko kwa mda aliotoa tamko. Mengineyo ni mawazo yako kutokana na uelewa wako.
 
Umeona mkuu huu ugonjwa kabla ya wachina kuumwa nesi na dk bingwa wa magonjwa ya akili muhimbili wamefariki raisi hakusema kitu ila baada ya kuripotiwa wachina 9 kuumwa ndo kasema inamaana hawa wengine sio watu?

Siunajua tunaubia nao kaka.Kwa sasa tujue wazi kuwa hatuna Rais bali tunamtalii mwenye sifa au cheo cha URAIS.
 
JK hakuwepo hiyo habari angeitangazia Nigeria.Sababu this week nimemwona na Safety boot Nigeria sambamba na Dangote anapewa michongo yakufanya 2015 ikifika,Siku chache nikamwona Kongo na dogo Samatta wanapiga stori.Sasa hiyo hatari angetangaza lini?

Tatizo la viongozi wetu wa kiafrika wanajisahau mno na kuona issue yoyote inayohusiana na raia wao siyo tatizo.Hebu tuone upande wa pili wa Afrika (west Afrika-Nigeria) leo watoto zaidi ya 200 wametekwa lakini Rais alikaa kimya mpaka raia wake walipopiga makelele ,na nchi za wenyewe kustuka na kuja wenyewe kusaidia utafutaji wa watoto leo Rais anapiga porojo na mbaya zaidi mkewe anamtetea.Hebu tuwaone wenzetu mtoto mmoja tu akipotea kila mtu anahangaika leo je?

Tunawagonjwa 400 rais hana habari lakini wachina 9 anastuka,inatia mashaka akili zetu zinafananaje.
 
Tatizo la viongozi wetu wa kiafrika wanajisahau mno na kuona issue yoyote inayohusiana na raia wao siyo tatizo.Hebu tuone upande wa pili wa Afrika (west Afrika-Nigeria) leo watoto zaidi ya 200 wametekwa lakini Rais alikaa kimya mpaka raia wake walipopiga makelele ,na nchi za wenyewe kustuka na kuja wenyewe kusaidia utafutaji wa watoto leo Rais anapiga porojo na mbaya zaidi mkewe anamtetea.Hebu tuwaone wenzetu mtoto mmoja tu akipotea kila mtu anahangaika leo je?

Tunawagonjwa 400 rais hana habari lakini wachina 9 anastuka,inatia mashaka akili zetu zinafananaje.
Wewe jua Viongozi wa kiafrica wanapiga kelele tuu kama itakakuwa inakula kwao kama haiwagusi subiri maumivu.Leo ndio nimesikia serekali inataka kupuliza dawa ya kuwauwa hao mbu.Yaani kuanzia Rais mpk balozi nchi hii utadhani magari ya dizel mpk yatolewe upepo ndio yawake.Tutafanyaje wkt ndio nchi yetu hii tunamwachia Mungu.
 
Binafsi nafikiri wakati raisi yuko kwenye kujiandaa kutoa tamko, ndipo hili la wachina likawa nalo limetokea.
 
Wewe jua Viongozi wa kiafrica wanapiga kelele tuu kama itakakuwa inakula kwao kama haiwagusi subiri maumivu.Leo ndio nimesikia serekali inataka kupuliza dawa ya kuwauwa hao mbu.Yaani kuanzia Rais mpk balozi nchi hii utadhani magari ya dizel mpk yatolewe upepo ndio yawake.Tutafanyaje wkt ndio nchi yetu hii tunamwachia Mungu.

Ni kweli,ngoja tuone wasije kupiga dawa iliyochakachuliwa.!
 
Back
Top Bottom