KIKWETE na ushikaji wake, waiyumbisha Mwanza

Alikuwa anasoma nchini uingereza katika chuo kikuu kinachoitwa Southampton. Kwa bahati mbaya alikuwa anaendekeza sana starehe, na hivyo hakumaliza chuo; akamdanganya mkuu wa kaya, akamtumia hela nyingine, akajoin vyuo vya machakani vya kusoma mwezi mmoja sijui miwili akatunukiwa cheti. Sina uhakika kama cheti alichonacho kina jina la Southampton au hicho chuo kingine alichokimbilia baada ya kushindwa kumaliza Southampton.


Kweni nafasi hiyo BOT haikutangazwa? au hapakuwa na interview halali? Nafikiri hili Liyumba analo jibu zuri zaidi
 
Hilo ndilo chaguo la Mungu 2005.Tena 2015 laja chaguo lingine la Mungu,yaani EL.Nchi hii imelaaniwa kwa kupewa machaguo machafu.KAMWE SITAMWAMINI TENA KASISI YEYOTE JUU YA SIASA ZA BONGO
 
JF sasa mnaaribu sifa ya forum kwa kushabikia majungu yasiyona ukweli.Eng Ndikilo kabla ya kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza alikuwa mkuu wa wilaya ya kilombero na alifanya kazi nzuri sana yeye na mwenzake Dr.Rutengwe ya kuifanya moro kuwa ghala la taifa la kuzalisha chakula yaani FAMOGATA na kufanikiwa kuuweka mkoa wa morogoro kwenye mikoa yenye kuzalisha chakula kwa wingi.walipelekwa pale kwa shughuli hiyo,Pinda alipofanya ziara wilaya ya ulanga na kukuta mashamba yamelimwa kisasa alimchukua DC wa Ulanga Dr Rutengwe ambaye ni mtaalamu wa kilimo na kumhamishia kwake mpanda.Vick Kamata kabla ya kwenda BOT alisomea Mass communication SAUT na baadae kwenda UK kusomea masters.post aliyostahili kuipata kutokana na qualification zake ni hiyo aliyoipata.ACHENI MAJUNGU

moro tangu zamani ni wazalishaji wakubwa wa chakula. kwa CCM ukisema kazi nzuri, ni kufanikiwa kuvuruga uchaguzi. Ndikilo, alifanikisha hilo kwa kuvuruga uchaguzi wa REGIA MTEA-Rest in Peace dada. na hapa mwanza anafnya madudu. kwa mfano, anaagiza RPC kumkamata oFISA MWENZAKE na amhoji eti kwa madai amechana bendera. walipogomewa wakafoward ujumbe kwa rais. umakini wake uko wapi?
 
Back
Top Bottom