Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,199
Hadi hapo ndo unaweza kuwa mwisho wa ukawa kwani huo mjadala wa katiba utakuwa umefungwa rasmi. Ni wakati wa kila chama kuvaa koti lake la siku zote tuone kama kuna walichovuna kupitia umoja wao wa kinafiki walokua wameunganisha.
Mpaka hapo mshindi CCM. Agenda za serikali 3 na serikali ya mkataba yenye kiti chake UN ndo imetoka hiyo labda msubiri awamu ya 5.
Unabanduliwa nini?