mtoto wa mjini
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 1,754
- 896
Rasimu ya Tume ya Jaji Warioba (maoni ya wananchi) itajadiliwa upya January 2016 na wakati huo CCM ni wapinzani, mjadala unaanza upya.
DR. Slaa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa ameachiwa majukumu mengi na Jakaya, lakini katiba mpya haitamsumbua maana ilikuwa kwenye ilani yetu ya uchaguzi 2010 kwa hiyo itatekelezwa upesi.
Slaa:Nina ulemavu was kudumu,sitweza kugombea Uraisi tens.