Elections 2010 Kikwete na CCM kushinda kwa kishindo - REDET

Status
Not open for further replies.
Opinion poll za REDETni sawasawa na kupiga ramli sio kigezo halisi, ni copy and paste, jambo muhimu ni watu waliojiandikisha kupiga kura kwenda kupiga kura siku ya uchaguzi.

REDET anataka kutumia report yake kama swing votes kwa wale ambao hawana upande.

Kufanya Opinio poll zilitakiwa fedha nyingi za kuzunguka nchi nzima,pesa hizo alitoa nani,je kuna mkono wa wadau kwa maana wagombeaji katika uchaguzi mkuu?

Umahili,umakini wa waliofanya utafiti uko je? Quality Management System ya REDETyenyewe iko je?
 
ndugu jamaa na marafiki tafiti hazipigwi na maneno. zinapigwa na tafiti . najua wengi hamkutaka kusikia majibu ya tafiti yakiwa hivyo bt too bad ndo utafiti huo.70% wengine wote watapata 30% as in CHADEMA , CUF, TLP ,UDP,DP na wengine wote..........

Exactly...................
 
Hakuna utafiti uliofanyika wao waendelee kumdanganya tu Kikwete kwa uzuri wa sura watakuja shangaa watu wanazidi kutokuwa na imani naye wao wanasema anazidi kupendwa migomo imepamba moto wao wanasema utendaji wa serikali umeongezeka sijui ni serikali ya wapi wanayoisema yangu macho come to election day.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom