Kikwete: Membe alinitesa alivyohamia ACT-Wazalendo

Kikwete: Membe alinitesa alivyohamia ACT-Wazalendo

Fundisho gani wakati tulipita miaka mitano ya bata na gharama za vyakula na vifaa vya ujenzi vikiwa bei inayoeleweka.Kikwete alifanya vizuri sana kumpitisha Marehemu Jiwe.
Sasa hivi wana enjoy kwa kuwa jikoni pako wazi kila mtu anaweZA KUJIPAkuliA kulingana na KAMBA yako inavyokuruhusu
 
Lakini tukubali tusikubali,kuingia kwa Magufuli kwenye urais bila kutegemewa kulitokana na makosa ya mikakati ya Kikwete mwenyewe na mtandao wake.

Kikwete na mtandao wake wali mind sana lango kuu asipite mtu asiye wa kwao na kuacha mlango wa uani wazi kabisa.

Tulipopitia miaka mitano ya Awamu ya Tano iwe fundisho, maana Taifa lilngeweza kuingia machafuko yasiyotarajiwa.

CCM yenyewe ilishIngia migawanyiko ambayo hadi leo itachukua muda kuifuta.
Kazikwa?
 
Yah. Mungu ni wa ajabu. Anakuweka ktk majaribu makubwa kwa kumleta shetani kwako. Kisha tena Mungu huyohuyo kwa wakati wake atamponda shetani, nawe utakiri kuwa Mungu ni mkuu.
Angekuwa mvaa Kobaz usingemwita Shetani. Kuna kitu hakika sawa kwenye mafundisho yenu
 
Angekuwa mvaa Kobaz usingemwita Shetani. Kuna kitu hakika sawa kwenye mafundisho yenu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi ni mkristo mkatoliki bwashee.
 
Back
Top Bottom