Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Akiona neno lowasa huyu kijana ana tetemeka sana!
Namsubiri Nape aje aseme neno
Namsubiri Nape aje aseme neno
Mbona me sioni ajabu yeyote hapo!? KAWAIDA SAAANA
Mheshimiwa tafuta kamusi tu wala si mwalimu wa kiswahili. Neno sahihi ni "kujiuzulu". Rudia kwa herufi kubwa: KUJIUZULU.Kwani akijiudhuru (neno sahihi siyo kujiuzulu), anakuwa siyo mstaafu? unajuwa maana ya kujiudhuru au unakurupuka tu?
Nna uhakia hujui maana ya "kujiudhuru" wala "kustaafu". Mtafute Mwalim wako wa Kiswahili aje hapa tumpe darsa halafu aje kukufunda.
Na hilo jembe litamlima sana mwaka huu,asubiri aone huo moto