Kikwete kugomea Bunge?

wewe ndo mjinga huelewi chochote mbona ameshindwa kujibu .

sipendi sana kutukanwa na machokoraa kama wewe,kwahiyo shika adabu yako ,sawa dogo,usinifanye nipoteza mda wangu kudeal na wewe.kama hujafunzwa nidhamu nitakufundisha,
 
sipendi sana kutukanwa na machokoraa kama wewe,kwahiyo shika adabu yako ,sawa dogo,usinifanye nipoteza mda wangu kudeal na wewe.kama hujafunzwa nidhamu nitakufundisha,

Sina muda wa kushinda ni mwehu kama Elungata .
 
Last edited by a moderator:
sipendi sana kutukanwa na machokoraa kama wewe,kwahiyo shika adabu yako ,sawa dogo,usinifanye nipoteza mda wangu kudeal na wewe.kama hujafunzwa nidhamu nitakufundisha,

una heshima gani wewe mpuuzi na mjinga kama wajinga wengine .
 
una heshima gani wewe mpuuzi na mjinga kama wajinga wengine .

sijasema mimi nina heshima,nimesema ntakufundisha adabu,mitoto mijinga kama wewe ndo kazi yangu kuinyorosha.
kimtu eti kinashabikia siasa,hakuna hata advantage utapata zaidi ya kupoteza mda humu,au umelipwa na ngwajima,eeh?
 
sijasema mimi nina heshima,nimesema ntakufundisha adabu,mitoto mijinga kama wewe ndo kazi yangu kuinyorosha.
kimtu eti kinashabikia siasa,hakuna hata advantage utapata zaidi ya kupoteza mda humu,au umelipwa na ngwajima,eeh?
huku ni kuishiwa hoja kabisa ngwajima ndo nani huyu.
 
sasa wewe una point gani humu zaidi ya mara kwa mara kumtetea huyo kiongozi wa misukule humu jf?

wewe ndo msukule usiyejitambua kiongozi wa misukule ndo nani au umechangikiwa sijui umekula maharage ya wapi mpuuzi wewe
 
Kwahoyo wabunge wa ccm walishindwa kutumia wingi wao kuzuia posho hizo kama ambavyo huwa wanapitisha miswaada mingine?
 
Kwahoyo wabunge wa ccm walishindwa kutumia wingi wao kuzuia posho hizo kama ambavyo huwa wanapitisha miswaada mingine?

kwenye posho walishindwa lakini kwenye miswada wanafanikiwa kuzuia .
 
wewe ndo msukule usiyejitambua kiongozi wa misukule ndo nani au umechangikiwa sijui umekula maharage ya wapi mpuuzi wewe

msukule si ndo wewe,ama hujitambui ?,au huwa unapost halafu unasahau,?which means unapost bila ku engage your diminishing brain,otherwise ungekuwa na kumbukumbu ya mambo unayopost hapa
 
ha ha ha,kama huna kumbukumbu kiasi hicho utakua ni msukule,umetoroka mortuary

sasa angalia unavyochangikiwa ushauri endelee kutumia zile dawa zitakusaidia .
 
msukule si ndo wewe,ama hujitambui ?,au huwa unapost halafu unasahau,?which means unapost bila ku engage your diminishing brain,otherwise ungekuwa na kumbukumbu ya mambo unayopost hapa

napoteza muda wangu bure kushindana mwehu kama wewe .zaidi yako ni wagonjwa wenzake wa mirembe akina Lizabon na laki si pesa ndo wahuni wenzako hao unatakiwa kujadiliana .
 
Last edited by a moderator:
kwenye posho walishindwa lakini kwenye miswada wanafanikiwa kuzuia .

ndo maana nasema unahitaji ku engage ubongo wako kabla hujasema,huo si mswaada kwamba umeletwa bungeni waupigie kura.
na hapa inaonekana wote wanataka kuongezewa maslahi,wakiwamo hao kina mbowe.
sasa lini umesikia wamepiga kura wakaupitisha,?
yale ni mapendekezo yao wabunge,wametoa .
unaongea vitu hata hujui,
kwani umesoma hadi darasa la ngapi ?
 
napoteza muda wangu bure kushindana mwehu kama wewe .zaidi yako ni wagonjwa wenzake wa mirembe akina Lizabon na laki si pesa ndo wahuni wenzako hao unatakiwa kujadiliana .

yah,inaitajika mwehu kama ngwajima kupretend inafufua misukule kama wewe,hivi huwa anawalipa bei gani baada ya maigizo ya kuwafufua?
 
Last edited by a moderator:

Kweli mkuu,hawa sisiem wanataka kuwaingiza ukawa kwenye mtego waje kuitwa ni miongoni mwa mafisadi..Ukawa kataeni upuuz huu utawagharimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…