Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Kwa hatua ambapo hatua za kujivua gamba imefikia ndani ya Chama cha Mapinduzi,
ukilinganisha na mategemeo ya watanzania wote wanaofuatilia picha hii, wote, wana ccm
na wasio wana ccm, viongozi wote wa ccm isipokuwa JK the nightmate mwenyewe na
wanachama kwenye ngazi zote za chama hicho ni wazi kwamba hakuna hata mmoja
ambaye anaweza akasema kwa imani kutoka moyoni mwake kwamba anaelewa
Jakaya alimaanisha nini aliposema CCM ni kama Nyoka na inaweza kujivua gamba.
Haiwezekekani wakati woote wa hatua zinazodhaniwa kuwa end point na watanzania
woote mambo yanakuwa namna hii
Hakuna hata mmoja, kama yupo atoe ushahidi hapa.
Only Jakaya know what he meant, au la Hata yeye haelewi alikuwa anamaanisha nini.
ukilinganisha na mategemeo ya watanzania wote wanaofuatilia picha hii, wote, wana ccm
na wasio wana ccm, viongozi wote wa ccm isipokuwa JK the nightmate mwenyewe na
wanachama kwenye ngazi zote za chama hicho ni wazi kwamba hakuna hata mmoja
ambaye anaweza akasema kwa imani kutoka moyoni mwake kwamba anaelewa
Jakaya alimaanisha nini aliposema CCM ni kama Nyoka na inaweza kujivua gamba.
Haiwezekekani wakati woote wa hatua zinazodhaniwa kuwa end point na watanzania
woote mambo yanakuwa namna hii
Hakuna hata mmoja, kama yupo atoe ushahidi hapa.
Only Jakaya know what he meant, au la Hata yeye haelewi alikuwa anamaanisha nini.